Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Kwa wanaopenda makazi yaliyo karibu na barabara kuu hii inawafaa zaidi. Nyumba ipo Gongo la mboto(Kwalala). Bado ina eneo na bei ni nafuu kabisa. Tsh 35,000,000. Karibu kwa mazungumzo. Call 0755519358
0 Reactions
0 Replies
538 Views
Nyumba ina vyumba 3 kimoja ni self Ukubwa wa plot 1400sqm Bei 300m Nyumba ni ya tatu kutoka barabara ya lami kunduchi ununio Kwa maongezi zaidi na kuja kuona wasiliana nami kwa 0756060183
0 Reactions
77 Replies
7K Views
Ukishuka kwa mathias eneo lipo ndani kutoka barabara kuu 1.5km karibu na shule ya Secondary inaitwa Nyumbu. Bodaboda elfu 1 kufika site. Vyumba 3 moja master Jiko Stoo Choo na bafu Sebule Dinning...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
0713672719[emoji336]0787672719 Nyumba ipo mjimwema Kibugumo Ina vyumba vitatu kimoja master Sitting room dining room iko na public Toilet Ina Banda la vyumba 2 Bei milioni 60
0 Reactions
3 Replies
743 Views
Nyumba ina vyumba vitatu(kimoja master), Sebule, Jiko, na choo cha umma. Eneo la kiwanja ni Futi 50 urefu na futi 40 upana. Inapatikana Vikindu, kijiji cha picha ya Ndege, kitongoji cha Kamegele...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Five bedrooms 80% completed Location: Chekechea, Kibada, Kigamboni Plot size: 1460 sqm Price : 150,000,000/= negotiable
0 Reactions
0 Replies
530 Views
Nyumba ipo mwembe mdogo Ina vyumba vitatu kimoja master sitting room jiko na public toilet Bei milioni 35 njoo na ofa yako 0787672719 0713672719
1 Reactions
0 Replies
823 Views
1.nyumba ipo Arusha morombo dampo kwa kaburu 2.ukubwa wa kiwanja miguu 15kwa 20 3.umbali km5 kutoka lami hati kwenye nyumba 4.ina vyumba 3, kimojawapo ni masta 5.ina jiko, sebule, umeme maji...
0 Reactions
2 Replies
857 Views
Nyumba ya vyumba vitatu,kimoja master, Bei milioni 38 Ina hati Ukubwa wa Kiwanja ni nusu eka Ipo Mlandizi kilanga langa, Toka morogoro road umbali mfupi kwa kutembea kidogo tu Kwa muitaji karibu pm
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Nyumba ziko 2 mkabala kabisa na barabara kuu ya kuelekea mbagala lami na ya zege ya mwendokasi. Bei ni TZS 280M. Kwa mawasiliano nicheki 0773411415.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nyumba inauzwa ikiwa haijapauliwa ramani ya kisasa Eneo ukubwa ni 30*25 Mahali Mbezi luois Bei milioni 35,000,000/= Mazungumzo yapo na karibu sana Mawasiliano piga sim 0713660178
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wanajamii [emoji213]Ni nyumba ya pili toka barabara kuu ya lami [emoji213]Nyumba ina vyumba vitatu, viwili masters [emoji213]Public Toilet moja [emoji213]Ukumbi, Dinning, Jiko...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Nyumba ipo mwembe mdogo Kigamboni Ina vyumba vitatu kimoja master sitting Room jiko na public toilet Bei milioni thelasini na tano (ml 35) ipo mita 200 toka lami ilipo nicheki...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jengo linauzwa lipo Mlamleni pwan lilianza kujengwa kwa ajili ya frem jengo lipo karibu na shule na hospital ni barabaran na ni eneo lenye watu wengi.
0 Reactions
3 Replies
716 Views
Nipigie 0713096076 bei 250,000
0 Reactions
4 Replies
978 Views
Nyumba ipo Kashai, Kashenye, Bukoba, ina vyumba vitatu vya kulala pamoja na sebule, ina umeme na maji, pia ina eneo kubwa la kujenga nyumba zaidi ya mbili, bei ni milioni 26, bei inazungumzika...
0 Reactions
0 Replies
714 Views
Nyumba iko Vikindu. Iko kwenye eneo la ekari moja. Ina vyumba vitatu, kimoja selfu. Ina maji safi ya kisima cha kuchimbwa (drill). Eneo limepimwa ila bado hati kutoka. Umeme ni nguzo tatu. Ipo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
GOROFA Ina uzwa Gezaulole kigamboni Ina vyumba sita chini vitatu kimoja master Sitting room dining room jiko na public toilet na chini vyumba vitatu kimoja master Sitting room dining room jiko na...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Nyumba kubwa inauzwa mbagala kuu kijichi jeshini Ina vyumba vitatu master moja,sitting room kubwa,dinning,kitchen na store Ina seventy quarter ambayo haijamaliziwa pamoja na banda kubwa la mifugo...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Kwa Nini ukose nyumba mjini?.Pata nyumba za bei rahisi zote zinapatikana eneo la Mbezi malamba kituo mzalendo ni buku tu kwa bajaji kutoka mbezi stand (Bei na maeelekezo vipo kwenye picha)...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom