Wakuu
Nina set ya vifaa vyote vya kuoshea magari vipo Tu home vimekaa
Sasa kama mtu anataka nimkodishe then awe ananipa % flan kila siku aje DM tuyajenge
Vifaa viko Dar
Habari wakuu,
Nauza mizani used ni nzito haina kipengele ina mawe yote
Imethibitishwa na wakala wa vipimo Tanzania
Ipo wilaya ya Hai
110k tu
0718569091
Habari Wanajamvi!
Wacha niende Moja kwa Moja kwenye Maada yangu.
Nina shida ya kifedha, hivyo nalazimika kuuza friji yangu aina ya frigo.
Glass(650Ltrs)nimeitumia miezi mitano tu, kwamaana...
Nauza iphone 13 plain
Used 2 months
UK
GB 128
Bh 100
Inakuja na boksi yake na original usb charge wire haijawhi tumika.
1,800,000ml Tsh
Dsm location
0783985530
Wakuu habari.
Store ndogo sqm 18 hadi sqm 25 inahitajika iwepo maeneo ya kariakoo, Magomeni au Keko kwa mwenye kuweza kufahamu au kuniconnect tafadhali nicheck inbox.
Huduma ya kusafirisha mizigo mikubwa na midogo kutoka Dar kwenda mikoa yote Tanzania ipo hapa.
Tunatuma mizigo kwa njia ya ndege,bus na malori.
Huduma zetu ni nafuuu. Kabisa na uhakina usalama...
Hellow Guys!
Mmeshindaje? Poleni na mahangaiko ya kila siku.
Wadada nina mambo mazuri sana. As we know mwanamke ni pambo lazima liwake na kupendeza muda wowote ili liendelee kuvutia. Jamani nina...
Nyumba inauzwa viwanja viwili ndani ya fence .
Vyumba vya Kula 2 self
Chumba Cha Kulala Cha nje 1
Sebule na dinnning
Public toilet
Fence
Eneo 57*35
Location.
Bendera tatu /BugandoHospital - Kona...
Nahitaji mtu mwenye akili na msomi ambaye nataka awe mshauri mkubwa wangu kwa mambo mbali mbali ya maisha yangu
Kama uko tayari ni text dm
Tuongee mambo mengine Niko serious bro’s
Hello sweethearts.
Kama wewe Ni fundi ujenzi,au una idea na kujenga,Bei za vifaa,kiwanja etc..njoo tupige story
...Nina million tano hapa.
Naplan kiwanja Cha 15/20
Halafu fundi anijengee Apo...
IPHONE 14 PRO MAX GB 256
[emoji736]BADO MPYAA IPO KWENYE CLEAN CONDITION
BATTERY [emoji367] 100%
FACE ID [emoji736]
TRUE TONE [emoji736]
[emoji3541]2,440,000 TU
[emoji736]MUUZAJI NI MIMI...