Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Habari zenu wakuu... Napangisha eneo la biashara lipo mwenge karibu na geti la kuingilia stendi inayojengwa (karibu na ilipokua tamari hotel) Hili eneo nlipangishwa kama eneo la wazi...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Habari , nauza simu tajwa hapo juu ipp clean mpya ,, sifa za hizi simu picha zake zipo clean as reality...for more ni cheki 067270132...pia po moshi KCMC price 360,000...RAM 6 GB, INT.64 GB
1 Reactions
2 Replies
424 Views
Kutokana na uzoefu wa muda mrefu katika ufundi wa computers (software and hardware) hapa kariakoo nimeona niwasaidie wadau humu wanaosumbuliwa na matatizo ambayo pengine wana uwezo wa kuyamaliza...
5 Reactions
146 Replies
24K Views
Kwa mahitaji yako ya asali mbichi … Asali hii kutoka katika msitu wa Kigosi … ni asali salama sana kutokana na kuvunwa mbali na makazi ya watu kwa zaidi ya Km 50… (Organic Honey)… Bei zake ni ~...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
We are selling spear parts of machines like, Motor Graders, Excavators, Dozers, Rollers, Wheel loaders & Backhoe Loaders. Specifically these brands CAT, KOMATSU, SHANTUI, HITACHI, CASE, HYUNDAI...
1 Reactions
13 Replies
567 Views
Habari za Wakati Huu Je unahitaji Nyumba,Viwanja,Mashamba n.k. Ndani ya Kigamboni katika maeneno ya Vijibweni,Kibada,Kisota,Gezaulole,Cheka,Kimbiji,Mbutu na Maeneo ya Jirani na Hayo? Usisite...
0 Reactions
0 Replies
586 Views
Nauza tv za mtumba kumpuni tofauti tofauti kuanzia Philips, Sony, lg, Hitach na mengineyo. Bei zetu kuanzia 440,000___450,000 nakuendelea. tupigie humu 0715 378899 au0687558785
3 Reactions
75 Replies
5K Views
Location Mwanza Kishiri Kwa mawasiliano njoo inbox Nina shida ya hela, kimfaacho mtu chake.
0 Reactions
4 Replies
601 Views
Hiki ni kiwanja kilichopimwa kwasasa kipo kwenye mchakato wa kupata hati wilayani Kibaha. Kiwanja kipo Vikawe-maeneo ya Miwale...kina SQM 2538. Kipo eneo zuri sana hakipo bondeni, kimepakana na...
1 Reactions
2 Replies
636 Views
Habari za jioni. Karibuni kununua kiwanja chenye nyumba ndani, kipo fenced. Eneo ni Buguruni Kisiwani. Bei ni millioni 70. Kwa atakayependelea awasiliane kwa namba 0784307401. Huyu ni mmiliki...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
2 Reactions
16 Replies
668 Views
Watanzania na Wadau mbalimbali wa Ujenzi watakiwa kujitokeza kwa wingi katika Maonesho ya DAR CONSTRUCTION EXPO, ili kujifunza, nakuona Teknolojia mpya itakayopatikana katika Sekta ya Ujenzi...
0 Reactions
0 Replies
387 Views
Kuna msururu wa mafundi wengi ambao wamekuwa wakiwashauri wamiliki wa magari au wao wenyewe kuondoa thermostat katika gari bila kujua umuhimu wa hicho kifaa hasa pale gari inapoanza kuoverhit...
20 Reactions
52 Replies
13K Views
Hii ni Diagnosis ambayo inacover mifumo yote ya gari yako tofauti na OBD2 ambayo kwa mashine nyingi huwa inacover tu faults za engine japo ilitakiwa kucover power train yote(Yaani Engine na...
3 Reactions
18 Replies
3K Views
Tuzungumze kidogo kuhusu Oil za Automatic Gearbox. Kuna makundi makubwa mawili ya Oil za Automatic Gearbox(ATF). 1. Standalone ATF 2. Universal ATF Hebu tunagalie moja baada ya nyingine...
11 Reactions
39 Replies
19K Views
Wakuu, msaada tafadhali. Natafuta Clutch Master Cylinder ya Massey Ferguson 3085
0 Reactions
0 Replies
252 Views
Habari za muda huu wapendwa, Napenda kuwakaribisha wote mnaotumia au mnaotarajia kutumia bidhaa zitokanazo na miti ya michikichi kama vile; MAWESE (PALM FRUITS OIL) - hii ni kwa matumizi ya...
0 Reactions
1 Replies
524 Views
HABARI ZA MAPUMZIKO NINAUZA KIWANJA CHENYE UKUBWA WA MITA 16-13, KIWANJA HIKI KIPO JIJINI DAR ES SALAAM, ILALA , CHANIKA NYEBU KIWANJA KIPO KARIBU NA BARABARA YA MTAA, NA UMEME UPO, KUNA...
3 Reactions
4 Replies
755 Views
Habari, Kwa mahitaji ya vifaa vya umeme, tunapokea order za wateja wetu, tunahakikisha mteja wetu anapata huduma ya uhakika na kwa muda muafaka, kupitia thread hii ntashare products mbali...
9 Reactions
238 Replies
10K Views
Uzito -30kg Bei-200k Maelewano -yapo.
1 Reactions
0 Replies
233 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…