Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Ishauzwa asanteni
0 Reactions
3 Replies
904 Views
Habari zenu, Nahitaji kiwanja kwa Tsh 1.5 - 2m mkoa ya Tanga kwenye mitaa kama Duga, Mwahako, Tangasisi, Mwang'ombe, Mikanjuni, Mwanzange, Kasera, Msambweni, Magaoni, Mwambani, Mwakidila, Donge...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
NATAFUTA WAIMBAJI WA LIVE BAND KATIKA BAA YANGU MKOANI DSM Ninahitaji Mtu/watu wenye uwezo wa live band (copy) au cover,kavasha,dancersau hata wachekeshaji au karaoke. Malipo ni kwa makubaliano...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Afya Bora ya uzazi hutegemea zaidi mambo makuu matatu 1. Mzunguko wa damu(ufanyaji kazi mzuri wa moyo) 2. Saikolojia ya mtu 3. Mfumo mzuri ya neva katika ubebaji wa taarifa Afya Bora ya uzazi...
3 Reactions
6 Replies
845 Views
HABARI Ya muda huu JF, Kama Headline Ilivyojieleza Hapo Juu. Ninatafuta Balo la Nguo za watoto mixture Kuazia Umri Wa Mwaka zero Hadi 4 Ikizidi Iwe Kuazia Umri Wa Mwaka 0 Hadi 5. Mwenye Kujua...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mimi natafuta kazi ya planning and pipe fitting ni Fundi Nina uzoefu mzuri zaidi ya mwaka nimesomea Veta lev2 nafunga system zote za maji na ni dereva pia Namba 0712233653 au majaliwae6@gmail.com
0 Reactions
23 Replies
10K Views
Ziko DTF mbili Kuna newkins Ambayo ni used na pia Kuna DTF za kampuni ya YingHe ambazo ni mpya na accessories zingine Kama 8 in 1 Heat compressor, Kuna paper cutter machine, kuna inks na cleaning...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna Kama hii used black in color ínataka 150,000 ipo kariakoo ni used Ila unapiga kazi Kama kawa nipigie 0659167416
0 Reactions
0 Replies
258 Views
Dobimaridadi Mtaalamu(specialist) wa kufua na kunyoosha nguo yupo kwa ajili yako kuhakikisha umaridadi wa muonekano wako kwa kuvaa nguo nadhifu. Tupe nguo zako leo tukufulie/kunyoosha kwa umakini...
0 Reactions
4 Replies
329 Views
Naitaji pool table used naomba tuwasiliane 0762502983
0 Reactions
5 Replies
596 Views
Wakuu, nakuja Dar. Nipo njiani. Naomba contacts za lodge zilizopo Magomeni Mapipa. Bei iwe shilingi 30,000. Isizidi hapo. Iwe na utulivu
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tunatengeneza mashine za kuchakata plastic, kusaga plastic,kuyeyusha plastic pia Tunapatikana mabibo karibu na mwananchi communication
1 Reactions
4 Replies
748 Views
Nauza TP Link Routers . *New* Specs zake: TP-Link Wireless Router 300M Wifi router TL-WR842N 2.4G Wireless router Wifi repeater TPLINK 802.11b. TEXTS/CALL:- 0755 907671 TSH 130,000/=
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Boxer BM 125cc DLQ 1,930,000/ IPO Temeke Yombo Call 0652659775
0 Reactions
0 Replies
318 Views
Salute bosses Tangu tumeanza hii movement JamiiForums mmekua pamoja nasi muda wote. I must be very thankful for their continuous support and generosity, thanks team for the great work. Siwezi...
15 Reactions
835 Replies
105K Views
NYUMBA HAIJAISHA INAUZWA Eneo ukubwa : 448 SQM Jiko Two bedroom ( one master) Dinning Open kitchen Public toilet Location: Madale mbopo Bei : 20,000,000 Negotiable 1.5km from madale road (...
0 Reactions
4 Replies
991 Views
Wakuu habari zenu , naomba msaada wenu juu ya suala zima la soko la maziwa nchini Tanzania na hata nje ya mipaka ya Tanzania kwa mwenye details zozote zinazoweza kuwa msaada kwangu tafadhali...
2 Reactions
33 Replies
2K Views
Kama walivyoahidi, Remitano wamezindua sarafu yao ya Renec. Sarafu ambayo ilikuwa ikipatikana bure kwa kufanya mining kupitia simu ya mkononi sasa ipo sokoni kupitia exchange yao. Renec iliingia...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Toyota Brevis Used Inauzwa Mkoani Mwanza. Inatembea vizuri haina kipengele Bei 2,500,000. Mazungumzo ya Simu ndiyo mwafaka SOLD☑️
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Kifaa hiki kimasaidia; -Kupunguza maumivu ya viuongo -Hufanya massage mwilini hivyo kuimarisha mzunguko wa damu -Kwa wanariadha na wafanya mazoezi kinaondoa uchovu -Kinasaidia kwa watu...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom