Habari ndugu zangu humu jukwaani, naombeni machimbo wapi ntapata dollar.
Nimezunguka sana kwenye benki lakini nimekwama, hakuna kabisa.
Sehemu gani naweza kupata dola ndugu zangu? Nahitaji...
Habari wanajukwaa,
Kwa mwenye kujua soko la kuku wa nyama mkoani Mwanza anipe connection mimi napatikana Usagara.
Nina broilers 358 wanakaribia kuingia sokoni Bado week Moja tu.
Natanguliza...
Habari wadau,
Tunatoa huduma za ufundi umeme na solar,
. wirring aina zote
. maintenance ya wirring zote
. security system (CCTV)
.water pump
. Street light
N.k
Tunapatikana Iringa Mjini
Call...
Habari njema kwa watanzania wote. Sasa tumaweletea kifaa kipya na cha kisasa kiitwacho MiFi kutoka Marekani, ambacho kinatumia line za mitandao ya simu za mikononi na kurusha internet kwa njia ya...
Nina Tsh. Milioni 30 cash mkononi mwangu, kujenga ndo kipaombele changu, hata biashara pia.
Mwenye nyumba nzuri ya milioni 20 (Arusha) anitafute. Milioni 10 nataka nifanye biashara nipate hela ya...
Viwanja vinauzwa Makongo Mwisho (Jirani na Kanisa Katoliki)
Sqmt 1 kwa Shilingi 70,000
Viko Km 1 kutoka lami ya Makongo inayoelekea Goba.
Bodaboda 1,000 mpaka site.
0712787939
Offer Cherehani ya Umeme
Name Ufesa
Made in Spain
Model Maquina De Coser
Modeli hii kwa Kifaransa tunaita Acquina de Costurar
Sws 3003 Performance
1.Inashano
2.Inadarizi
3.Inapiga zigizaga...
Habari wanajukwaa mwenye kujua soko la kuku wa nyama mkoani Mwanza anipe connection tafadhali. Mimi napatikana Usagara Nina broilers 358 Bado week Moja wawe tayari sokoni kwaajil kuuzwa
MASHINE NDOGO YA KUSAGA NA KUKOBOA (2 in 1) mahindi, mpunga, viungo vikavu nk
Mashine MPYA
Bei 1,500,000/=
Mashine ipo DAR
●Mashine ina pande mbili, upande mmoja ni wa kusaga na upande wa pili...
NAUZA DUKA LENYE VIFAA VYA WATOTO
DUKA LINA KILA AINA YA VIFAA VYA WATOTO NALIUZA (diapers, mafuta, toys, nguo, baby walkers, mabeseni, vitanda, midoli, chupa, n.k) LOTE KAMA LILIVYO DUKA LIPO...
Habarini Wakuu
Rejea kichwa cha habari hapo juu.
Nahitaji msaada wa Mwalimu wa tuition MWENYE UZOEFU kwa Mwanafunzi wa kike wa darasa la 4.
Awe anaweza kufika Mbweni Malindi/JKT, Dar es Salaam...
Nikiamkabidhi mteja trekta aina ya Lovol Hp 75 4WD aliyoinunua kupitia mkopo wa zana za kilimo NMB MBULU Manyara,
Mteja huyu kapata trekta yake ndani ya wiki mbili tangu aanze taratibu za kuomba...
Nauza printer in a miezi 2 tu bado mpya kabsa ndo nimeinunua juzi tu nilikuwa naitumia matumizi binafsi sio biashara.
Nimepatwa na shida sasa naiuza kwa bei nafuu kabisa 390 mwsho.
location...
Pata gari yako kwa kuanzia kulipia kidogo kidogo au kwa 40% tu ya gharama nzima na upate mkopo wa 60%marejesho ndani ya miezi 12 mpk 24, ukikizi vigezo na utaratibu wote utapata gari yako ndani ya...
1.NAUZA NEC PROJECTOR
MODEL V 260
MADE 2015
IMPORTED FROM UK
REFURBUSHED
LENZ HOURS 3000
PICHA 30 INCH HADI 150 HD
INA VGA,SVIDEO ,VIDEO , AUX
BEI NI TSH 300,000
LOCATION ROCK CITY
2 EPSON...
Bei ya gunia la mashudu ya mafuta ya alizeti: Chakula bora cha kuku Nguruwe Sungura na wanyama wengi.
Best Price for Suck of Sunflower meal or Seeds.
Mashudu ya mafuta ya alizeti ni chakula cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.