Jodam-supply utapata kampuni yoyote ya tv kwa bei ya nafuu ,ambapo sehemu nyingine huwezi kupata
Unaweza kulipia kidogo kidogo bidhaa zetu utapewa mkataba maalumu
Mfano
Tv inchi 32 aina ya...
OFFER OFFER
🔴MONEY COUNTER MACHINE / MASHINE YA KUHESABIA HELA
.
.
🔺Usipoteze muda mwingi kuhesabu pesa, Wateja wengi wanapenda fast & excellent services, epuka kupoteza pesa kwa kuchanganya...
Habari wakuu,nahitaji frame nitakayo weza kuweka biashara ya nguo za kike na za watoto maeneo ya Kigamboni, Mbagala au Mbezi, kama una namba ya dalali pia unaweza kunisaidia.
Pia eneo lolote...
Karibu nikupatie ramani ya vyumba vitatu kwa shiling 20000 tu ina
.sitting room
.dining room
.korido
.public toilet
. 1 master bedroom
.2 normal room
.vibaraza viwili mbele na nyuma
Nb haina jiko...
Habari wakuu
Tunakuagizia bidhaa kutoka China kwa bei nafuu sana ya kiwandani na wewe utatulipa commission kidogo pindi mzigo wako ukifika. Ofisi zetu zipo kigamboni big brother. Au unaweza...
Tuna deal na madilisha mirango makabati na meza kwa bai nzuri na uhakika wa kazi
Dirisha la futi 5x5 ni 260,000
Dirisha la futi 5x6 ni 270,000
Dirisha la futi 6x6 ni 280,000
Dirisha la futi 6x7...
Pengine ulikua hufahamu kwamba kuna umuhimu wa kusajiliwa VAT na kuwa na VRN(VAT Registration number?!
Okay soma hi
Mfanyabiashara mwenye matamanio ya kukua zaid kwenye kibiashara yake anahitaji...
vipo vingi sana ukivifata shambani mwenyewe bei inakuwa poa zaidi ushindwe wewe tu kutokana na uwingi wake pia shamba lipo Ruvuma-Tunduru usafiri unafikika uhakika.
0758978546 kwa mawasiliano
Habari wanajamvi
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka
Mimi ni mfugaji wa nguruwe napatikana maeneo ya Ntyuka Dodoma. Nauza dume kubwa kabisa kwa mahitaji ya kufuga au Kuchinja
Umri: mwaka...
Je unapenda gari lako kuwa na muonekano mzuri na wa kijanja unaonendana na wakati wa sasa ?
Kama ndivyo karibu ofisini kwetu tukutengenezee 3d plate kwa gharama nafuu
Tunapatikana Kariakoo...
Tunayo software ni nzuri na inarahisisha uendeshaji wa shule kitaluma na kimahesabu, na inasaidia kuwapa jumbe mbali mbali wazazi kuhusu wanao .
Ninzuri sana maana inakusaidia kutopoteza muda pia...
Shamba heka 20 linauzwa Kikongo Mlandizi, ni sehemu nzuri sana kwa biashara na kilimo, eneo lina rotuba ya kutosha. Unaweza kulima mazao yote ya ukanda wa joto.
Pia unaweza kuwekeza katika miradi...
Habari zenu waheshimiwa?
Wasiliana nami nikutengenezee label (stika) za bidhaa zako kwa Tsh.25,000 tu! Utapata design nzuri na lebo 20 ambazo zimeshakatwa, wewe utabandika tu kwenye bidhaa zako...
Ufanisi Company imesajiliwa kwa namba 545528 shughuri zake ni Umaliziaji wa nyumba (Finishing) Utengenezaji wa Samani (Furniture) na kuhifadhi na kutunza mazingira.
Imekamilisha utengenezaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.