Habari
Natafuta sehemu kwa ajili ya kufungua offisi Dodoma.
- Offisi hio iwe mjini Dodoma au karibu na mjini kabisa
Sehemu tulivu
Offisi iwe near karibu na public transport
itapendeza sana...
Pangasasa ni kampuni inayo usika na huduma mbali mbali kama:
1: Kupangisha makazi
2: Kununua makazi
3: Kuunganisha mhuuzaji na mnunuaji
4: Kusafirisha na kuhamisha mizingo ya mpangaji...
Habari wadau,
Je, local disk ya computer ama laptop yako imejaa na hujui unaiongezaje ukubwa? Umejaribu ku-shrink disk ya karibu lakini huwezi kuongeza unallocated space katika C drive yako...
Kiwanja kinauzwa Tegeta A. Square meter 400. Bei ni shs 15m. Kuna matofali mengi tu kama bonasi. PM au email tajirika@gmail.com. Mhusika mimi kwa hiyo hakuna udalali.
Mimi nipo Mwananyamala kibiashara nafkiria kutafuta kiwanja maeneo ya Tegeta au karibu na Tegeta ili nifanye makazi lakini sijawahi kufika nasikia tu Tegeta... na nimeangalia kwenye google map...
Subwoofer yenye Amplifier ndani
-Watts 1000
Mdundo Kama Wote[emoji344]
Kwa ajili ya Gari[emoji593] lako au Bajaji
Zinapatikana kwa Jumla na Rejareja
Bei
90,000/=
Tupo Kariakoo-Dar es Salaam...
Kindly find the attached company profile and of our cleaning company.
Our company was founded
on the principle of warm, friendly and efficient service. Our staff knows how to get the job done and...
Tunatoa huduma za usafi majumbani, ofisini kwa weledi mkubwa sana.
Pia tunauza dawa za kukusaidia kwenye usafi wa masofa, tiles, vyombo kwa Bei nzuri kabisaa.
Uaminifu na weledi ndio msingi mkuu...
Hello fellas.
Kuna fursa ya biashara ya playstations/games
Watu wengi wamekuwa wakiuziwa games kwa bei ghali sana pia wakiuziwa mashine ambazo sio imara.
Kuna mahali Kariakoo wanauza games kwa...
Kiwanja Fumagila Kishili Jijini Mwanza
Bei: Laki 6 tu punguzo hakuna
Size: hatua 18 kwa 16 za miguu
Mawasiliano: 0713096076
Kiko karibu na barabara kuu ya Kishili-Nyanama-Fumagila-Bujingwa...
Sony Playstation 3 inauzwa. Imetumika kwa muda wa miezi minne tu.
->HAINA TATIZO(KIPENGELE) chochote
->Imechipiwa na ina game zaidi ya 6 ndani.
->Nakupa na padi mbili, waya wa kuchajia padi na...
Sisi tunaitwa Madrassatul Abraar, tupo mtaa wa vitendo, kata ya Misugusugu, mkoa wa Pwani, namba zetu za simu 0625249605. Kituo kinaitwa "Miyomboni Shule" au Misugusugu Shule ya Msingi.
Fursa za...
Jengo la ghorofa 2 na nyumba ya chini zote zinauzwa Kijitonyama Ghorofa Lina vyumba 6 ambavyo ni master vyote Nyumba ya chini ina vyumba 3, kimoja master, jiko, sitting room na public toilet.
Plot...
Habari wakuu.! Natengeneza vitanda vya kisasa vya sofa kwa bei nafuu, nipo Zanzibar.
4/6 bei laki tatu na nusu
5/6 bei laki nne.
6/6 bei laki tano
ukihitaji nicheki 0679478758 au 0624078758
Unawezaje kufungua Mdomo wako na kusema umenunua SAMSUNG SMART TV nchi 60 kwa Tsh 2,500,000? Kitu ambacho Massawe alinunua kwa Tsh 1,700,000 kutoka kwa Infopreneur .
Huu mzigo Tayari upo ofisini...
My fellow jf bado nipo naendelea na mchakato wangu wa kuuza au kupunguza baadhi ya assets zangu ili nipate kuongezea mtaji wangu ulioyumba tangu mwaka huu uanze uchumi kwangu ume collapse kabisa...
Msaada tutani, Habari, nahitaji kigari Cha biashara (Uber, tax ) kwa bei elekezi tu ya mtanzania, bei 4M-6M likiwa mwanza itapendeza zaidi.
Kama Kuna mwenye nacho au anaefahamu mahali naweza pata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.