Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Eneo linauzwa lenye ukubwa wa heka moja linauzwa lipo kitanga wilaya ya kisarawe lina mabanda ya kufugia mifugo mbalimbali kama [emoji230] ng'ombe, [emoji238] mbuzi, kuku [emoji215] bata na kuna...
1 Reactions
9 Replies
956 Views
Habari Wakuu, naomba nisaidiwe wapi nitapata kamba za Katani kwa uwingi na bei ya jumla.. Najua zinapatikana kwenye hardwares lakini mimi mahitaji yangu ni makubwa hivyo ningependa kuzinunua...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
[emoji95]JE WAJUA? Nguvu ya laki 8 tu,unamiliki kiwanja chenye ukubwa wa futi 50*40 viwanja vipo tambarare kabisa na vina barabara za mitaa. [emoji3534]Tupo Vikindu na Vianzi [emoji95](Ukubwa...
0 Reactions
3 Replies
522 Views
- Jipatie Canal+ HD decoder uweze kuburudika katika msimu huu wa ligi mbalimbali kwa sh 185,000 (ikijumuisha ufundi+ kifurushi cha kuanzia)/dekoda pekee yake ni 150,000 - Utaweza kuona ligi za...
2 Reactions
78 Replies
11K Views
Shamba la korosho lenye ukubwa wa hekari kumi na lenye mikorosho 300 ambapo mikorosho hiyo ni ya miaka mitatu na ipo tayari kwa kuanza kuvunwa, lipo ndani ya jiji la Dodoma, lipo mita 500 kutoka...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Hapa Abraar Education Centre tunatoa mafunzo yafuatayo kwa vitendo... 1) Mafunzo ya kuunda vifaa vya ujenzi (masonry). 2) Mafunzo ya ujenzi (masonry). 3) Mafunzo ya lugha ya Kingereza...
0 Reactions
1 Replies
965 Views
Ipo mbeya wilaya ya mbarali, inauzwa na jembe lake 25m.Ipo katika Hali nzuri. Mawasiliano. 0765853672
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naitaji dish la startimes tu liwe ktk hali mzuri nicheck 0652500649
0 Reactions
0 Replies
317 Views
Natafta mtu ambaye anazifahamu accounting packages vizuri na mwenye uzoefu na kuzitumia especially tally naomba tuwasiliane kuna mchongo.
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Jipatie shamba kwa bei chee, Ni mazuri kwa uwekezaji wa aina zote, ( kilimo, mabwawa ya samaki na mengineyo) Yapo katikati na karibu na eneo lililotengwa kwa ujenzi wa reli ya mwendokasi, na hiyo...
0 Reactions
49 Replies
14K Views
Ujenzi wa Bandari kavu unaendelea kule Kwala-Ruvu. kuna fursa nyingi za Biashara, Viwanda n. k Kama unaitaji Ardhi kwa ajili ya kununua, au kukodisha ni bora ukawahi sasa. Ziko ekari zaidi ya 30...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Shamba liko kijiji cha Kwala (Serikali inapojenga bandari ya nchi kavu na reli ya standard gauge(SGR) bei ni laki 8 kwa Kila Heka 1, zipo Heka 12 kijiji kimepimwa hivyo ukihitaji hati ya kimila...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Karibuni wateja tuwapatie maeneo kwaajiri ya ujenzi na uwekezaji, yamepimwa na huduma zote za kijamii zipo. Check me via 0620701780.
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Ni ndugu yangu. Anatafuta shule ya kukodi. Iwe Msingi ama Sekondari kwenye mkoa wa DSM, Pwani ama Morogoro. Kwa yeyote anayeweza kusaidia kufanikisha hili anakaribishwa sana. Mengine...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Natafuta ballmill used liwe na uwezo wa kusaga kuanzia tonne 5 kwa saa
1 Reactions
3 Replies
396 Views
Kwa Mahitaji ya pikipiki Aina ya TVS na Boxer BM/ BMX Tupigie 0652659775/0620617985 N.B ni kwa DSM pekee
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari JFers Natumai nyote muwazima. Ninapatikana DAR ES SALAAM. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, nahitaji kununua Toyota GX 110 Grand iliyotumika kutoka kwa MMILIKI ( na si...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Nyingine tena kwa ajili yako..Ongeza ladha na muonekano wa nyumba yako na BOSS SUBWOOFER kwa bei ya TSH [emoji626]230,000/=tu..yenye sifa zifuatazo BLUETOOTH FM RADIO USB PORT AUX CABLE Na...
1 Reactions
134 Replies
19K Views
Back
Top Bottom