KARIBU KUNUNUA VITU MBALI MBALI KWA BEI NAFUU...[emoji593]AL AUTO PARTS ! Please let us know how we can help you.Ofisi zetu zipo Dar es salaam, kariakoo NA TABATA MUSLIMFree Delivery within...
Tunatengeneza mashine za kusaga pamoja na kukuboa mahindi, pia mashine za chakula Cha kuku, mixer za udongo pamoja na mashine za kufyatulia matofali, nk,
karbuni sana wateja wetu tunapatikana...
Brand new Amazon Kindle inauzwa, (full boxed) ni nzuri sana kwa wapenzi wa kusoma vitabu online au wanafunzi wa chuo, itakuepusha kutembea na mavitabu au Kila siku kwenda library kufuata vitabu...
Habar wadau wa elimu.
Kuna jambo hapa naomba ushirikiano wako. Hii ni kwa zile shule za sekondari sasa kuna maabara zile za masomo ya physics, chemistry na biology. Sasa kwenye hizi maabara...
Hello, nauza simu yangu google pixel 3a nimenunua mwezi uliopita 300000.
Tarehe Moja/8 napata simu nyingine naiuza hii 200000.
Unaweza lipa Kwa awamu 2.
Nipo, Dar es salaam.
WhatsApp 0689727165
Mashine mpya kabisa ya kutengenezea chaki inauzwa Tsh 300,000 tu
Ina matundu 100
Nipigie kwa 0769 863 484 tufanye biashara chap
Location: Dar es Salaam
nauza home theater LG watts 1000
bei 480k
spika ndefu 4,1 kidogo cha mezani,base, na deki yake
redio bado mpya inamakaratasi yake
location:Dar es salaam,kigamboni
Nauza airpod f9
Chaji zinakaa wiki na kuendelea
Powerbank yake inasehemu ya kuchajia simu
Base la maana
Imara
Rejareja 45000
Jumla 35000
Zipo pcs 15 tu
Tabata bima
0689719676
Tunachmba visima vya maji virefu kwa mikoa yote kwa elfu 60 mita morogoro
Tanga,bagamoyo mtwara lindi na pwani Dar 80 elfu
Iringa,dodoma,singida,tabora,mbeya manyara 90 elfu.
Shinyanga...
Tunatengeneza mashine za kusaga pamoja na kukuboa mahindi,pia mashine za chakula Cha kuku,mixer za udongo pamoja na mashine za kufyatulia matofali,nk,karbuni sana wateja wetu tunapatikana mabibo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.