MWITO KWA WATAALAMU WA FASIHI
Mchapishaji mashuhuri wa vitabu vya Kiswahili nchini Tanzania, APE Network, ana Mpango wa kutangaza na kuhifadhi kazi bora za fasihi ya Kiswahili kwa kuchapisha...
Mabibi na mabwana, nina nazi nauza ndugu zangu, kwa oda zimebaki chache, aseme mtu alipo nitamletea,
Wahi kabla hazijaisha, ila hizi zikiisha naweza pia kukuchukulia kwenye mashamba ya jirani kwa...
Tuna Uza na kupokea Order za korosho
1. Kilo moja Tshs 20,000/=
2. Nusu Tshs 10,000/=
Tunafanya Delivery popote Duniani kwa gharama ya mteja.
Korosho zetu ni mpya na "Fresh" Karibuni sana...
Samsung J5
Used kiasi
Memory 32gb
Chaji inakaa masàa kuanzia 8
Nakupa na charger yake
Bei sh 150,000...mazungumzo yapo
Iko Dar
0714796778 au 0628615685
Samsung J5
Internal memory 32gb
Camera nzuri 12mp/5mp
Battery inakaa na chaji vzr
Nakupa na charger na usb cable
Bei Sh 150,000....negotiable
0714796778 au 0628615685
Simu iko Dsm
Hello ,wanajamvi habari za muda huu na matumaini mnaendelea vyema na mihangaiko ya kila siku ,wadau kwa yeyote anayehitaji ,web na app designing ,pamoja na hosting tuwasiliane ,kwa anayehitaji...
Karbu upate kilicho bora kbsa mayai safi yenye kiini Cha njano safi Kwa bei nafuu na ya punguzo kuanzia tray 5 utapata Kwa 13000tsh Kwa Kila tray na Kwa tray moja mpk 4 utapata kw tsh15000 nipo...
Make: nissan
Model:xtrail
Engine: yd22 common rail
Capacity: CC 2184
Fuel:diesel.
Price:10M
Transmission: manual(gear 7)
SPEED: 220 KM/HR
SABABU ZA KUUZA.
nimehamia shamba huku naona kama naitesa...
Eneo Lina ukubwa was metre 35 kwa 40 ni nusu heka lipo pembeni kidogo ya mji na linafaa kwa petrol station, yard au godown Bei ni mill 20 njoo dm kwa namba
Lipo karibu na sehemu iliyoandikwa...
Babu Kubwa Enterprises ni kampuni inayojishughulisha na uzalishaji, utengenezaji, ufungaji na usambazaji wa vyakula, matunda na viungo.
B.K Enterprises wanakuletea Unga bora wa lishe, Unga wa...
Habarini za muda huu wana jukwaa,,mhusika wa hii account nafanya biashara ya kuuza mayai ya kienyeji kwa bei ya rejareja kwa maana ya kwamba kwa sh.15,000/= tu wajipatia trei moja ya mayai...
[emoji599]SABASABA OFA[emoji599]
Pikipiki bure...!
PJA PROPERTY DEALERS tunafahamu kwamba unahitaji kiwanja na sasa Sabasaba hii hatukupi kiwanja peke ake bali tunakupa na kiwanja iliyosheheni ofa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.