Wakuu habari za masiku nilikua naomba msaada mimi ni fundi simu nilikua nimeandaa bajeti ya. Milioni 1 nataka kuboost ofisi vifaa navyotaka kuongeza NI UFI Box,Digital Power Supply na Short...
Habarini wakuu
Mapambano ya kulijenga taifa yanaendelea...
Naleta kwenu ombi la kupata eneo la kujenga mashine kwa ajili ya kusaga na kukoboa katika maeneo tajwa hapo juu yaani kuanzia Kimara...
Habarini ndugu jf , napenda kuwapa taarifa hii muhimu sana kwa kila mwanaharakati katika maisha yake, kama una ujenzi wako binafsi au shirirka au ujenzi wa aina wowote ule, basi kutana na mafundi...
Kwa mahitaji ya picha nzuri, kali, murua na maridadi kama hii tuwasiliane kwa 0659445718 au ni pm.. Mwenye dili za kuchora, ofisi inayohitaj mchoraj au mahali pakuanzia msaada please.
Kifaa hiki nimekitengeneza kinauwezo wa kuwasha vifaa vya umeme kwa njia tatu.
1: Kwakutumia switch za kawaida.
2: Kwakutumia Bluetooth kwenye smartphone yako.
3: Kwa kutumia internet kwenye...
Haya mandhari ya Shule...
Mazingira Bora Kabisa...
Kwa uzuri huu lazima Mwanao Afaulu
Michezo inakuza Afya zao za akili
Hongereni wadogo zetu....Hongera Walimu...Hongera Mkuu wa...
Hiace inauzwa milion 17 njoo na fundi wako ukague Engine 3L standard ipo katika hali nzuri inafanya kazi. Gari bado ipo kwenye hali nzuri. Kwa mawasiliano zaidi na maulizo piga 0735266326. Haina...
[emoji427] The Almanack Of Naval Ravinkant: A guide to wealth and happiness
by Eric Jorgenson
Genre: Non Fiction, Finance
Goodreads: [emoji93](4.58/5)[emoji93]
Getting rich is not just about...
The Way Of The Superior Man
by David Deida
Genre: Self Help, Spirituality
Goodreads: [emoji93](4.02/5)[emoji93]
What is your true purpose in life? What do women really want? What makes a good...
The Unfair Advantage: How You Already Have What It Takes to Succeed
By Ash Ali & Hasan Kubba
Genre: Self Help, Non Fiction
Goodreads: [emoji93](4.12/5)[emoji93]
We all have unfair advantages in...
MAPAZIA MAZURI YA SET, KWANZA KUNA HILO LA GUCCI HAPO[emoji39][emoji39][emoji91]
-Nikisema set namaanisha pazia 3 kwenye dirisha moja, Yaani mawili mazito yanakuwa mbele alafu moja jepesi Pana...
Tunatoa huduma ya usindikaji samaki kisasa, samaki Hawa husindikwa kwa kutumia machine niliyotenegeza hapahapa Tanzania.
Machine yetu hutumia umeme na gas na samaki huchukua masaa saba...
Heri ya Mwaka Mpya 2016, WanaJF
Tafadhali naomba mnielekeze Fundi Bingwa Wa Gari za Aina ya Nissan Xtrail. Nipo Dar es Salaam
Tafadhali naomba mniwekee hapa Namba zao Tafadhali. Nitawashukuru Sana.
Nilibuy Display ya s10 plus Aliexpress but ikaja ikiwa damaged.
Nikafungua dispute na zikatoka solutions mbili na ikabidinichague moja.
1. Kuwa compesated na kiasi kidogo lakini nibaki na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.