Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Hivi wakuu machine za kuoshea magari zipo za specs zipi na zipi, na zinapatikana wapi na makadirio ya bei zake ni zipi? taa imewaka kichwani, kuna kichaa wangu mmoja alikimbia shule, sasa ameamua...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Jamani kama kuna mtu mwenye address ya mtu ambaye aliwai kuwa nurse na ame retire .Namhitaji ili aweze kumtunza mwanangu mwenye kuhitaji msaada wa Psychiatric management.Sio lazima awe ni nurse wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna jamaa alitangaza ataleta simu Touch phone na vitu vingine, kapotelea wapi, give us your contact please
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kivuko.com inapenda kuwatakia watanzania wote sikuukuu njema ya Eid. pamoja na salam hizo tunaambatanisha kuponi kwa wale wote watakaotumia mtandao wa kivuko.com kufanya manunuzi yao katika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana jamii natafuta hostel ampapo mtu anaweza kukaa kwa muda wa wiki mbili hivi akijitayarisha kwa mitihani. Iwe Meneo ya karibu na mjini kama Sinza, Mwenge, Kinondoni, Mjini kati, Ubungo n.k...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
6 weeks old pet dog puppies for sale (small breed). parents are very well behaved and good for the family and kids. price - TShs 400,000. See attachment for pictures and contact details
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Msichana wa kazi anatafutwa kwa kazi za ndani kijijini kwa mkataba wa miezi Mitatu kwanza kuanzia Dec 15 akifanya vizuri mkataba unaweza kuongezwa. SIFA Umri - wowote Msafi Elimu angalau Form IV...
0 Reactions
49 Replies
6K Views
Hi JF Members. Am selling the below Raum at 7,500,000. But Negotiable. Picha hazijatoka vizuri coz nilitumia simu. Ni ya mwaka 2000 cc 1490 OD 67,000 nimeanza kuitumia last week runs great very...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Salaamz wana JF. Natafuta professional cleaners wa ndani ya gari. Namaanisha kusafisha floor, roof, viti, board ya ndani kwa ujumla, dash board NA MFUMO MZIMA WA HEWA YA AIR CONDITIONER. Note...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Kwa yeyote anaye hitaji digital camera: sony,fujitsu,canon,Ricoh etc (zote zinanzia 12 megapixel) Range ya bei Tsh 280,000 to 340,000 2. Digital Camcoders; Range Tsh 600,000 to 1,400,000 3...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Tembelea blogu ya Mkahawa wa vitabu www.somabook.blogspot.com , Unaweza kuandika ushauri na maoni mbalimbali kwa ajili ya kuboresha zaidi blogu hiyo
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, Nimesaidiwa mara nyingi hapa. Shukrani za dhati kwa JF team. Asanteni sana wote pia. Ninaomba kusaidiwa zaidi. Ninatafuta wataalamu /professionals wa interior & exterior design na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
MSICHANA Khadija Daudi (22), mkazi wa Mbagala Charambe aliuawa kikatili na mumewe kwa kuchomwa na kisu mgongoni kwa kile kilichodaiwa kuwa ni baada ya kukataa kuamka usiku kwenda kuokota embe...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Waungwana heshima mbele kwa wote, Jamani mwenzenu nimepata vihela kidogo nataka kuagiza gari angalau ninayo ipenda, napenda sana nissan x trail lkn sijui kuhusu hizi gari je zina matatizo gani...
0 Reactions
33 Replies
7K Views
Lipo Chanika Sungusia. Lina ukubwa wa heka mbili.Lina miti ya mimea mbali mbali ya matunda kama maembe, machungwa, minazi n.k pia lina aina nyingine za mimea ya mboga mboga. Lipo karibu na shule...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Wasalaam wana JamiiForums, Mimi naitwa Kanyika ninafuraha kubwa kujumuika nayi katika kuliendeleza hili libeneke. Nitajifunza kutoka kwenu nanyi mtapata chochote kutoka kwangu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
VIDEO - Ukatili wa Wapishi wa China Samaki...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
MFANYABIASHARA Edmund Liwa anayefanya shughuli zake maeneo ya Kariakoo, ameuawa na majambazi baada ya kupigwa risasi wakati akiwa na wenzake nyumbani kwake Kimara Temboni jijini Dar es Salaam...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
IDADI ya watu ambao bado haijafamika wamekufa baada ya kufunikwa na mlima uliosababishwa na mafuriko yaliyotokea usiku wa kuamkia leo huko kata ya Manka Wilayani Same mkoani Kilimanjaro...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Ndugu wana JF leo mchana nimepata msiba
0 Reactions
102 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…