nyumba inauzwa ipo mwembe mtengu tuongomb-kigamboni
ina vyumba 3
Vyumba viwili (bedroom)na publi toilet
main room[master room 1]na choo chake
Dining room
jiko
sebule
pia banda lake la nje
lina...
NYUMBA INAUZWA
IPO - DAR-ES-SALAAM-Tz
WILAYA - KINONDONI
MAHALI - MBWENI UBUNGO
___
BEI - MIL 220 maongezi yapo
UKUBWA KIWANJA - SQM 850
UMILIKI - INA HATI SAFI
YENYE
____
Vyumba vitatu vyote...
Habari nauza PAGALE nyumba ambayo haijamaliziwa imeishia kwenye kufunga rinta ya juu Bado kozi za juu yu kwaajili ya kuezeka
Location:kibaha loliondo, karibu na pangani hospital.
- vyumba vinne...
Nyumba inauzwa Dodoma Mjini ina vyoo vi2 vya public master tatu sebule moja jiko moja na fremu za maduka nne, bei milioni 300, ipo barabara kuu ya singida maongezi yapo kidogo hati ipo haina dalali
Nyumba ipo kigamboni Mwembe mtengu inauzwa na mwenye nyumba.
Master 2
Living room 2
Kitchen 1
Public toilet 1
Dinning 1
Seating 1
Ukubwa eneo 400sqm(20*20)
Bei 38Mil
MTEJA ANARUHUSIWA KULIPA...
Nyumba ipo morogoro kihonda
Km 1 na nusu kutoka dodoma road.
Nauli kutoka morogoro mjini 500
Ina vyumba vitano,kimoja master.
Ukubwa kiwanja mita 25 kwa 20.
Milioni 35.
Mazungumzo yapo
Eneo kubwa na zuri linauzwa pamoja na nyumba yake.
Lina ukubwa wa MITA 70 kwa 21.
Ndani ya eneo kuna nyumba yenye vyumba vinne,viwili ni master na vingine ni vya kawaida,sebule kubwa pia na...
Habari JamiiForums members.
Nyumba inauzwa na benki kwa njia ya mnada. -- Nyumba ipo Mbezi, Msingwa
--Nyumba ina kiwanja chenye ukubwa wa 520sq/m-- Nyumba ina vyumba vitatu, kimoja master...
Ipo Kibada KISARAWE ll kigamboni
Ina vyumba vitano vitatu masters
Sitting room dining room jiko stoo
Na public toilet bei milioni 200
Mzungumzo pia yapo ukubwa wa kiwanja SQM 883 ina hati miliki...
Nyumba ya ghorofa moja Inauzwa milioni 300 maongezi yapo Ipo bunju B - Dar es salaam
Vyumba Vinne vya Kulala vyote ni self contained
▫Sitting room zipo mbili chini na juu
▫Dining room
◇...
Nyumba inauzwa Kibaha kwa Mfipa(upande wa chuo)
Vyumba vitatu(master zipo 2)
Seble na jiko+choo cha public ndani
Eneo ni 23×33
Umeme upo, maji yapo
Km 2 toka moro road
Ndo inafanyiwa finishing
Ipo...
NYUMBA HAIJAISHA INAUZWA
Eneo ukubwa : 448 SQM
Jiko
Two bedroom ( one master)
Dinning
Open kitchen
Public toilet
Location: Madale mbopo
Bei : 20,000,000 Negotiable
1.5km from madale road (...
Habari, kama kichwa cha habari kinavyojieleza...
•Nyumba ipo Muriet Mashariki, mita 200 kutoka barabara ya East Africa
• Nyumba ina vyumba kumi, (single room) na ukubwa wa eneo ya nyumba ni...
Nyumba ipo Tanga Mjini Mitaa ya kisosora
*Room 4 (Kimoja master)
*Sebule
*Jiko
*Public Toilet
*Umeme✅
*Maji✅
Bei 65 milioni mazungumzo yapo...Kwa mteja Serious piga simu 0683703076 au whatsapp...
Nyumba ipo mtaa wa kangaye kata ya nyakatNYUMBA INAUZWA IPO MTAA WA KANGAYE-NYAKATO-MWANZAo-mwanza ipo karibu na shule ya secondary KANGAYE, ina vyumba 3 na sebule, Ndani Kuna lipu na Bomba za...
Ninauza nyumba ipo Mwanza maduka 9, maji na umeme vipo, nyumba ipo jirani na barabara kuu ya maduka 9 kiloleli.
Bei naanzia 16 Milioni, maongezi kidogo yapo.
Simu 0717072172.
Nyumba inauzwa Magomeni
Makuti A, Mtaa wa msikiti Mdogo
Documents: Mirathi
Skwata
Meter 120 main road, tandale road.
Bei 125milioni (mazungumzo yapo)
Nipigie +255712347749 +255765755455
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.