Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Mwandege wilaya ya Mkuranga. Mkoa wa Pwani, Mwandege. Nyumba ina vyumba vitano na sitting room. Ina choo cha kudumu/shimo. Nyumba ipo kwenye lenta bado kupaua tu. Ipo kwenye Barabara ya...
0 Reactions
0 Replies
388 Views
Nyumba ya Vyumba vitatu, jiko, sitting room, chumba kimoja master. Eneo kubwaa linatosha kuzungusha fensi, dakika 5 main road ya kilwa road. Mwandege iko mkoa wa pwani wilaya ya mkuranga, unaanza...
1 Reactions
8 Replies
914 Views
Ipo kibaha visiga,nyumba ya kisasa, Vyumba viwili,kimoja master,sebule ,dinning,jiko, Uwanja mkubwa squire meter 800 Ina fensi ya kisasa. Umeme na maji vipo, Umbali km moja kutoka morogoro road...
6 Reactions
90 Replies
8K Views
Boma linauzwa, limefikia hatua ya kufunga lanter, lina vyumba 3 vya kulala ambapo viwili ni self, kimoja ni cha kawaida, sitting, dining, jiko pamoja na public toilet. Limejengwa ndani ya eneo...
0 Reactions
7 Replies
638 Views
Muundo wake Vyumba vitatu vya kulala kmoja n master bedroom seble jiko dining stoo na choo na bafu (CommonToilet) Huduma zote maji umeme barabara vpo site mtaa mzurii uliojengeka kisasa sanaa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Nyumba inauzwa Mwandege Magengeni barabara ya Kilwa road, wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani. Ina vyumba vinne sitting room chumba kimoja master, jiko, kisima cha maji, stoo ndani full tank. Uani...
0 Reactions
1 Replies
671 Views
Nyumba inauzwa Mbezi Kibamba ina vyumba vitatu kimoja master, ina stoo, jiko, dinning room, sittng room, public toilet, full fency maji ya DAWASCO dakika 3 main road bei milioni 70...
0 Reactions
1 Replies
836 Views
Ipo maeneo ya Kinondoni. Ghorofa moja, nyumba za chini pamoja na fremu mbili nje. Kwa sasa bei 350,000,000 mil Ina hatimiliki Ukubwa wa eneo sqm 600 Inafaa kwa office, restaurant, hospital...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
House For Sale Location : Dundan Mkuranga near to neelsalt Price : 45,000,000/ Negatiable Details 3 bedroom 1 Master room Big sitting room Dinning room Kitchen Store 2 vallander + 2 Flem Plot...
0 Reactions
0 Replies
438 Views
1. Mahali : Kitunda Relini-Ilala Dar es Salaam. 2. Mtaa : Majani ya Chai/ Kwa Traffic 3. Umbali : Kutoka Barabara ya lami dakika 7 4. Kiwanja: Sqm 357 5. Hati: Hati ya Serikali ya Mtaa 6. Vyumba ...
0 Reactions
1 Replies
527 Views
Chanika Magenge, mtaa Toroka Uje. Bei 16milioni. Serious buy nipigie tufanye biashara 0712347749, 0746474849. Nyumba ina vyumba 3. Master 1, viwili vya kawaida Choo cha public kipo ndani...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
OFFER OFFER OFFER [emoji95][emoji95][emoji95][emoji91][emoji91][emoji91] *IMESHUKA BEI JUMBA LA KIFAHARI KIBAMBA KWA TZS. 180m, UNAWEZA KUTUTANGULIZIA 50m UKAINGIA, HALAFU INAYOBAKI UTATUAMBIA...
8 Reactions
67 Replies
5K Views
Nyumba inauzwa Tanga mjini, Kange 3 Masters Bedrooms na moja ipo ghorofani in sitting room. 3 Normal bedrooms. Car garage (parking) public toilet kitchen Siuting room & Dining room Mabanda 7...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
NYUMBA NZURI YA KISASA INAUZWA BEI YA KUTUPWA. INA HATI MILIKI. IPO KIGAMBONI MWEMBE MTENGU. BEI NI MILION 160 TU 0744993715 SIFA YA NYUMBA. Vyumba vinne vya kulala kimojawapo ni Master kubwa...
5 Reactions
28 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu? Nimeamua kuwaletea hii taarifa njema, hasa kwa wale wenye tamanio la kuishi Tabora (Unyamwezini) kwa watoto wa kiarabu. Kiufupi ni kwamba nyumba ina sehemu mbili... Nyumba kubwa...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Habari wakuu, Nyumba inauzwa, ina, vyumba 6 na uwanja robo hekta, Ipo karibu na chuo cha Hombolo ambacho kinawanafunzi elfu 8+ Pia unaweza kuifanya hostel kwani imezungukwa na Hostels pia. Price...
2 Reactions
3 Replies
570 Views
Habari wana jukwaa..., Nyumba ya ghorofa inauzwa. Ipo Kigamboni sehemu moja inaitwa DEGE,.. ni kama 20 km's kutoka Ferry. Documents zote zipo(Hati). Ghorofa lina vyumba sita vya kulala vyote ni...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nyumba ya vyumba 3 vya kulala na sebule, ipo ndani ya fensi. Inahitaji marekebisho machache. Uwanja una ukubwa wa 20m x 18m, hauna hati ila kuna mkataba wa mauziano ya kiwanja. Maji ya DAWASA na...
0 Reactions
5 Replies
660 Views
Ni nyumba yenye vyumba vitatu, viwili vikiwa ni master pamoja na sebule na dining room. Eneo Lina ukubwa wa MITA 70 kwa 21, kuna eneo la shamba kama linavyoonekana kwenye picha. Bei yake ni nafuu...
0 Reactions
0 Replies
393 Views
Back
Top Bottom