Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Eneo liko Kibaha kwa Mfipa jirani na Sec. ya simbani . Lina ukubwa wa nusu heka, kuna boma la nyumba ya vyumba 3 ambavyo vyote ni master, seble jiko na dining. Nimeezeka vyumba 2 na vyoo vyake...
0 Reactions
1 Replies
382 Views
Inauzwa milioni 12 pungufu unaongea ipo zinga ukihitaji nicheki 0718127413
1 Reactions
17 Replies
1K Views
NYUMBA INAUZWA Milioni 45 tu(45,000,000/-) Ilipo kibaha picha ya ndege. Kilomita moja kutoka main road. ENEO UKUBWA 20*25 VYUMBA VITATU KIMOJA MASTER SEBULE KUBWA JIKO LA NDANI Nyumba ni nzuri...
1 Reactions
2 Replies
738 Views
Kuna vyumba viwili na seble moja kiwanja ni 25 kwa kumi 15
1 Reactions
11 Replies
844 Views
Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni, Km 1 kutoka ferry. Unaweza kufanya ukarabati ikatumika kwa kupangisha au hostel. Vyuo kadhaa vipo jirani. Bei : 35 M 0746 474849
0 Reactions
6 Replies
880 Views
Nyumba inauzwa ina vyumba vinne, ina fensi, ina hati miliki, kiwanja ndani ya fensi ni kikubwa unapaki hata gari nne. Ipo Mwanza mtaaa wa Nyangomango Center, kutoka barabra kuu ni sekende...
1 Reactions
2 Replies
639 Views
..
1 Reactions
16 Replies
4K Views
njoo ione vyumba 2, kimoja master na sebule nzuri kabisa.. ipo wilaya yai IKUNGI SINGIDA
1 Reactions
5 Replies
435 Views
Habarii Wana jf,Nyumba ya room tatu moja Master room,sebule kubwa, public toilet,store pamoja na jiko,ina uwanja wa 15mx30m ipo misungwi mkoa wa mwanza mawasiliano +255 769 088 152.
0 Reactions
4 Replies
575 Views
Nyumba mbili zinauzwa Sengerema Mjini Mwanza, zote ni nyumba zenye vyumba vitatu na sebule, jiko, dining na master bedroom moja ambayo ni selfu! Nyumba Moja imekamilika, nyingime haijakamilika...
0 Reactions
5 Replies
916 Views
Nyumba ipo sokoni inahitaji finishing tu. Piga sim kwa mmiliki 0692547049 au 0768628314 Ina vyumba vya kulala 4 Master 1 Sebure kubwa sana Chumba cha chakula Jiko Stoo Vyoo vya ndani Kisima kipo...
5 Reactions
94 Replies
6K Views
Nyumba ipo sokoni inahitaji finishing tu. Piga sim kwa mmiliki no 0692547049 au 0768628314 & whatsapp Ina vyumba vya kulala 4 Master 1 Chumba cha kulala watoto wa kiume 1 Chumba cha kulala...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
Asalamu alykum ndugu zangu. Nyumba inauzwa, Ina vyumba Saba(7) vya kulala na vyoo sita, Ina uwanja mkubwa na mabanda kwa ajili ya kufugia kuku yapo. Bei ni milioni mia na hamsini,(150000000) ila...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Vyumba vitatu, kimoja masta Limezungushiwa uzio wa matofali Eneo ni kubwa Umeme mlangoni Liko kwenye barabara ya mtaa Mita 500 kutoka barabara kuu inayoelekea Mtwara Lipo Mkuranga Kwa maelezo...
1 Reactions
13 Replies
727 Views
Ina ghorofa na nyumba ndogo nne chini.frame mbili za biashara nje. ipo pembeni ya barabara kabisa. Umiliki Hati Inafaa kwa uwekezaji wa ofisi pia. Nyumba ipo kinondoni mahakama.. Bei 450 millions...
4 Reactions
1 Replies
1K Views
Nyumba ipo mbweni Jkt, vyumba 4 vyote self, na pia kuna nyumba ndogo kwa ajili ya wafanyakazi nk Nyumba bado ni mpya kabisa na ukinunua unakabidhiwa ikiwa imekamilika kila kitu Uwanja una ukubwa...
4 Reactions
28 Replies
5K Views
Nyumba ipo Mbagala kwa Mbiku, ina frem 2 kwa mbele, vyumba 3 vya kulala, sebule, dining, jiko. Nyumba ya pembeni(Wavulana) vyumba 2. Bei ni 25m tu. Tuwasiliane kwa namba hii 0677089280.
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Ipo Kibaha picha ya ndege Master bedroom 1 Vyumba vya kulala vi4 Jiko na store Public toilet Parking Kiwanja ni 515square metres Mashimo mawili ya choo Kina HATI Bei ni 23mil maongezi yapo Kwa...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Nyumba inapatikana Vingunguti Spenco, ina vyumba sita kwa ndani kimoja kwa nje. Vyumba, vyote sita vina. wapangaji. Wahi chapu chapu ubahatike, mwenye nyumba ana shida zake. Piga namba 0677089280...
0 Reactions
103 Replies
9K Views
Back
Top Bottom