Samsung Galaxy A51
128GB
Bei: 720,000
Simu zipo sealed na zina warranty ya Samsung miaka miwili.
Napatikana DSM, unaweza kuja dukani au kufanyiwa delivery au kutumiwa kama upo nje ya DSM.
Contact...
Hi nimetengeneza blog na youtube channel yake na Android app ya blog nahitaji partner wa kifanya nae kazi ya kuiendeleza kwa faida ya 50/50 ila bado aijaanza kuingiza mapato kwa sasa link ya blog...
Infinix note 7 lite
Ram 4GB
Rom 64GB
Network 2G 3G 4G
Battery mah 5000
Camera nyuma mp 48
Camera mbele mp 8
Haina kipengele
0689866829
Dar gongolamboto
Wakuu salaam sana .nauza Miche ya migomba kuna mzuzu,mkono wa tembo,mtwike,ndizi bukoba,kisukari bei @3000 Miche IPO mingi wahi
0755404226. Kiluvya dsm
Ndugu wana jamii forum.
Naomba mwenye uzoefu wa tank zuri la kuhifadhia maji (Domestic use ) anielezee hapa nayaona mengi kama vile.
Kiboko, Simtank NK.
Sokoni leo na land point tunakiwanja Mkonze ambacho kipo kalibu kabsa na huduma zote za kijamii kama maji, umeme, n.k bei na bei yake ni Milion 8 tu ukubwa wake ni SQM 1456
wasiliana nasi kwa 0753...
Umofya kwenu wadau humu ndani.
Twende kwenye maada ! Ni hivi wakuu mimi nipo huku Njombe na ningependa niwashirikishe juu ya uvumi wa bei ya zao tajwa hapo juu,kuna kikundi cha watu huku...
Habari wana Jf.
Nilikua na uhitaji wa kujua wapi naeza nunua mafuta yanayozalishwa kwa miti,majani au matunda nk.
Mfano wa mafuta hayo ni ya
Mafuta ya mchaichai
Mafuta ya Avocado
Mafuta ya...
Chumba masta pamoja na sebule.
Ipo ndani ya fensi, Maji ya dawasa, parking ipo na ipo jirani na kituo cha dalala dakika tatu kutembea..
Inakuwa wazi tarehe 1/5/2021
Wahi
Bei: Tshs 150,000/Mwezi...
Panasonic gh5s camera for best video quality.
Uwezo
Shoot 4k up to 60fps
Dual native iso 400 and 1600
Support cinema 4k up 60fps
Shoot 4k 10bit 4:2:2 internaly
Assisting feature kamaFalse color...
Salaam Sana nimeanzisha bustani nzuri Sana ya maua nyumbani kwangu.
Nitakuwa napost maua tofauti tofauti na Bei zake Kama unataka mengi Kuna punguzo na delivery kwa Bei nafuu Sana!
NB: Kama Kuna...
Huduma hii inamsaidia mtoto kujifunza maada mambazo hajazielewa vizuri na wale pia wanaojiandaa na mitihani tuna package zao.
Vitabu na material zote ni Bure kabisa.( softcopy)
Ina vyumba 3, umeme na maji yapo.
Ipo ndani ya fensi.
Kodi. Laki sita kwa mwezi na inalipiwa kwa mwaka mzima.
Kodi ya udalali: Laki sita.
Site visit, 10000.
Mawasiliano...
Wadau,
Kwa wale wanaomiliki vituo vya radio habari hii inaweza kuwahusu kwa namna moja au nyingine!
Kwa sasa kuna changamoto kubwa sana kutokana na radio nyingi sana kuanzishwa na bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.