Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Samsung Galaxy A51 128GB Bei: 720,000 Simu zipo sealed na zina warranty ya Samsung miaka miwili. Napatikana DSM, unaweza kuja dukani au kufanyiwa delivery au kutumiwa kama upo nje ya DSM. Contact...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hi nimetengeneza blog na youtube channel yake na Android app ya blog nahitaji partner wa kifanya nae kazi ya kuiendeleza kwa faida ya 50/50 ila bado aijaanza kuingiza mapato kwa sasa link ya blog...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naomba muongozo wa Bei na kulipata pool table
0 Reactions
11 Replies
14K Views
Infinix note 7 lite Ram 4GB Rom 64GB Network 2G 3G 4G Battery mah 5000 Camera nyuma mp 48 Camera mbele mp 8 Haina kipengele 0689866829 Dar gongolamboto
0 Reactions
4 Replies
700 Views
Wakuu salaam sana .nauza Miche ya migomba kuna mzuzu,mkono wa tembo,mtwike,ndizi bukoba,kisukari bei @3000 Miche IPO mingi wahi 0755404226. Kiluvya dsm
2 Reactions
22 Replies
7K Views
Ndugu wana jamii forum. Naomba mwenye uzoefu wa tank zuri la kuhifadhia maji (Domestic use ) anielezee hapa nayaona mengi kama vile. Kiboko, Simtank NK.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Sokoni leo na land point tunakiwanja Mkonze ambacho kipo kalibu kabsa na huduma zote za kijamii kama maji, umeme, n.k bei na bei yake ni Milion 8 tu ukubwa wake ni SQM 1456 wasiliana nasi kwa 0753...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Umofya kwenu wadau humu ndani. Twende kwenye maada ! Ni hivi wakuu mimi nipo huku Njombe na ningependa niwashirikishe juu ya uvumi wa bei ya zao tajwa hapo juu,kuna kikundi cha watu huku...
0 Reactions
4 Replies
9K Views
Habari wana Jf. Nilikua na uhitaji wa kujua wapi naeza nunua mafuta yanayozalishwa kwa miti,majani au matunda nk. Mfano wa mafuta hayo ni ya Mafuta ya mchaichai Mafuta ya Avocado Mafuta ya...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Chumba masta pamoja na sebule. Ipo ndani ya fensi, Maji ya dawasa, parking ipo na ipo jirani na kituo cha dalala dakika tatu kutembea.. Inakuwa wazi tarehe 1/5/2021 Wahi Bei: Tshs 150,000/Mwezi...
1 Reactions
39 Replies
3K Views
Panasonic gh5s camera for best video quality. Uwezo Shoot 4k up to 60fps Dual native iso 400 and 1600 Support cinema 4k up 60fps Shoot 4k 10bit 4:2:2 internaly Assisting feature kamaFalse color...
0 Reactions
0 Replies
509 Views
Salaam Sana nimeanzisha bustani nzuri Sana ya maua nyumbani kwangu. Nitakuwa napost maua tofauti tofauti na Bei zake Kama unataka mengi Kuna punguzo na delivery kwa Bei nafuu Sana! NB: Kama Kuna...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Huduma hii inamsaidia mtoto kujifunza maada mambazo hajazielewa vizuri na wale pia wanaojiandaa na mitihani tuna package zao. Vitabu na material zote ni Bure kabisa.( softcopy)
0 Reactions
0 Replies
363 Views
Ina vyumba 3, umeme na maji yapo. Ipo ndani ya fensi. Kodi. Laki sita kwa mwezi na inalipiwa kwa mwaka mzima. Kodi ya udalali: Laki sita. Site visit, 10000. Mawasiliano...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
SONY HOME THEATER [emoji91] [emoji108]BEI 885,000/= . [emoji117]BLUETOOTH & HDMI ARC [emoji117] 1000 W [emoji91]USAFIRI BURE [emoji598][emoji598] . . LOCATION: K/KOO Jirani na Simba Sports Club...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau, Kwa wale wanaomiliki vituo vya radio habari hii inaweza kuwahusu kwa namna moja au nyingine! Kwa sasa kuna changamoto kubwa sana kutokana na radio nyingi sana kuanzishwa na bado...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Back
Top Bottom