Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari wadau, Naomba kama kuna anayefahamu namna ninaweza kupata mizinga ya kufugia nyuki. Kwa ajili ya kuweka shambani kwangu. Ninahitaji michache kama mitano hivi. Mimi nipo Dar es Salaam Ila...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Nauza Nissan HARDBODY ,gari haina tatizo lolote fully document na imetunzwa vizuri Sana Transmission MANUAL 4WD Reg: No BXZ Price: 25 Million Contact; 0784325299
0 Reactions
2 Replies
734 Views
Viatu vikali hivo hapo angalia kipi kina waka kwako zipo simple raba za kike 30,000Tsh na Nike 38,000Tsh. Vipo viatu kama Nike vikali, scorpions nzuri, sebago, airmax, airforce, jordan...
1 Reactions
22 Replies
5K Views
Je wewe ni mwajiriwa lakini mshahara unaoupata hautoshelezi kuyaendesha maisha yako? Je umekuwa kwenye ajira kwa miaka mingi, lakini kikubwa ulicho nacho ni madeni na mishahara haikutani? Je...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari wana Jf kuna jirani yangu Mbezi beach upande wa Kushoto kama unaenda Tegeta na eneo liko tambalare amekata eneo lake kipande cha square meter 840 muuzaji nae yuko hapo hapo eneo lote lina...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Hisense (2020 TV) A7 series 50" inauzwa (Million 1.1) Tv ni smart yenye sifa zifuatazo:- 1. UHD TV (4K resolution) 2. VIDAA SMART OS 3. High Dynamic Range 4. DTS Studio Sound 5. Bluetooth 6...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Location: Mwanza Price: Milioni 8.5 Make: TOYOTA Model: SPACIO Mileage: Low Engine: 1490cc,1nz vvti Condition: Excellent Call/WhatsApp: 0784399081/ 0754405179
0 Reactions
3 Replies
1K Views
FAM Inatafutwa sehemu inayofaa kwa Tuition Center. Maeneo ya Mbagala DSM kuanzia: A) Mbagala Mission mpaka Mbagala Mzinga B) Mbagala Rangitatu hadi Charambe kwa Mbiku. Sehemu yoyote iliyo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nilinunua radio ( home cinema) zamani kidogo kwenye mwaka 2007/9 kupitia ndugu yangu aliyekuwepo Africa ya kusini na kuileta hapa nyumbani. Bahati mbaya vibaka walivunja na kuiba hiyo radio na...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Kama tittle ilivyo nahitaji BAHASHA kama hii kwenye attachmenti NB: hii ni sample tu. Nahitaji isiyo na maneno ya msd. Nahitaji mtu anaweza kufanya. Printing ya hii kitu
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Samahani mm mgeni humu ndani sijui km nimepost sehemu sahihi. Nahitaji msaada km kuna mtu ana kiwanja Morogoro mjini kwa ajili ya kujenga nyumba ya kawaida tu, (aniuuzie isiwe nje sana ya mji...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Wakuu habari ya majukumu? Naomba kusaidiwa wapi ninaweza kupata zile tochi zenye mwanga maalumu, zinazosaidia kutambua alama mbalimbali za noti, ili kubaini noti halali na noti feki...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Brand-Sony Model 55XD8599 Smart 4K YOM 2017 Used in clean condition Bei 1.4m 0715877076
0 Reactions
7 Replies
890 Views
Gari aina ya TOYOTA IST Inauzwa Inapatikana Mwanza Bbei ni million 9. Maelewano yapo wasiliana 0755213580.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau wapi zinapatikana perfume za kupima (oil) kwa bei ya jumla zikiwa namna hii?
1 Reactions
9 Replies
5K Views
sisi ni waandaaji wasimizi na watoa huduma katika shughuli mbali mbali kama vile sherehe, send off, kitchen part, vikao, mikutano, misiba, birthday party, nk Pia tunatoa huduma kama vile muziki...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tunatengeneza bustani nzuri na za kuvutia kwa ajili ya kubadilisha mazingira ya nyumbani kwako na hata ofisini kwako.Tunapatikana Tegeta, Dar es Salaam na mikoani pia tunafika, kwa mawasiliano...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hello! Habari wandugu kama kichwa cha Uzi kinavyojieleza. Bajeti yangu 60,000 to 70,000. Asante.
0 Reactions
0 Replies
764 Views
Huduma nzuri na bora ya kutengeneza, kudariz na kuchapa logo/nembo kwenye t-shirts na shirts kwaajili ya wafanyakazi/wanafunzi na matukio mbalimbali. BEI; Kudarizi ni sh 13,000@ pamoja na...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom