Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key).kwa magari aina zote yaani TOYOTA,VW,BMW,FORD nk. Kama unahitaji funguo ya...
Mambo
Ninafikiria kutengeneza sakafu ya nyumba yangu. Options zilizopo ni tiles terazzo au sakafu ya mbao. Kwa wale wenye uzoefu wa ujenzi, sakafu ipi kati ya hizo ni cheapest kujenga?
Msaada wenu muhimu
Nimejichanga vimilioni hivyo nahitaji hiyo gari rangi nyeusi.
Nipe jina la dalali maarufu atakayenipa gari iliyokaza bodi hadi miguu kwa bajeti yangu hiyo
Au kama yupo hapa...
Sifa za kiwanja
20*20m
Kina msingi wa kisasa
Vyumba vitatu, kimoja master, sitting, dinning na jiko
Kinafikika kwa gari
Umeme na maji vipo karibu
Mazungumzo mengine yapo
Kwa wamiliki wa vituo vya Radio wanaohitaji Live Radio streaming
Ninatoa Radio streaming service @ 128Kbps kwa Sh 100,000 tu kwa mwezi
*Radio itapatikana kwenye Tune-in, streema.com na embeded...
INAPANGISHWA NYUMBA ( APARTMENT )
Mahali: Kinondoni, Dar es Salaam
Bei: Tsh 600,000 kwa Mwezi,
Malipo: Kodi ya Miezi 6
FEATURES:
Nyumba Vyumba 2, Chumba kimoja ni Masta
Sebule.
Jiko.
Choo cha...
kwa mkulima mzalishaji wa mbegu ya vitungu vyekundu led bombey or led creole . Nahitaji debe 1 la kupima kwa ndoo.
plan yangu ni kulima ekari tatu.
Location ya shamba ni Sumbawanga vijijini...
Habari wakuu?
Niende moja kwa moja kwenye mada husika.
Nina wazo zuri sana, ambalo nimeshaliandalia PROPOSAL tayari. Wazo hili utekelezwaji wake unahitaji APP na WEBSITE vyote kwa pamoja.
Ila...
Nauza motor za umeme ni mpya kabisa toka kampuni ya maarufu sana ya vifaa vya umeme ya ABB , bei ni sh 400000 kila moja . Kwa anaehitaji piga simu 0712652110 DAR, Angalia label ya...
NAUZA floor scrubbing machine ziko mbili pamoja na pad zake , ni nzuri sana kwa wale wenye mahoteli au tenda za usafi. Bei ni sh 400000 kwa machine moja na pad 3 , Anehitaji piga simu...
Habari, wakuu. Natumai muko wazima na afya kamili. Ninapenda kuwajuza ya kwamba natoa ofa ya kutengeneza business account ya paypal na kuweza kupokea hela straight katika credit card yako au...
MSI gaming machine
Core i7 - 7th gen
RAM 16gb
HDD 1tb
SSD 256gb
Nvidia Gtx 1060(6GB Dedicated)
Used
[emoji338]0784545494
Bei 2,850,000
Tupo Karibu na Mlimani City Mall Njia ya kwenda...
Ps3 games & ps4 games installation
Pata games kali za ps3 kwa bei chee sana
Elf 5 tu
Game zote tunazo,farcry,call of duty,fifa,pes,uncharted,gta v,mortal kombat
Pia tunachip ps3 kwa elf 10000...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.