Pata Router ya 5G kutoka Tigo – Furahia Internet ya Kasi Bila Kikomo!
Kwa Tsh 350,000 tu, unapata router mpya ya 5G kutoka Tigo na mwezi mmoja wa intaneti bila malipo! Hii ni nafasi ya kipekee ya...
Sina mengi ya kusema zaidi ya kutoa pongezi Kwa kampuni yenu.Mmeleta mapinduzi makubwa
1. Kwanza gari Luxury kabla tulikuwa na kampuni zenye magari Ordinary Class tu.
2. Uhakika wa safari kufika...
Aisee wadau, kuna viwanja vimepimwa, viko tambarare karibu na bahari maeneo ya Buyuni centre Kigamboni.
Viwanja vipo kuanzia 420sqm hadi 700sqm na bei ni 2,000,000tsh hadi 2,500,000tsh.
Nicheck...
Jamani tupeane uzoefu.
Mara nyingi natumia Instagram na YouTube kutangaza biashara yangu, lakini nataka kuongeza njia mpya za kufanya matangazo. Nimejaribu kuwasiliana na TikTokers kadhaa wa...
Wakuu kwema humu?
Nahitaji chumba masters, cha kisasa maeneo ya Mwenge, Mlimani City au Chuo (Ardhi)
Nataka kuhamia tarehe 1 mpaka 3 December!
Bajeti yangu haitazidi 200,000/- TZS
Nicheki...
Wakuu kwema humu?
Nahitaji chumba masters, cha kisasa maeneo ya Mwenge, Mlimani City au Chuo (Ardhi) au Sinza
Nataka kuhamia tarehe 1 mpaka 3 December!
Bajeti yangu haitazidi 200,000/- TZS...
Inakaa masaa 8 ukiichaji full.
Haijatumika sanaa maana muda wote router inatumika kwenye umeme..
Mara chache umeme ulipokatika ndio ilitumika.
bei 20,000
0711707070
SIMU NI MPYAAAAAAAAA
Google Pixel 9 PRO XL
RAM 16GB
ROM 256GB
Camera 50MP
BATTERY 5060mh
TSH.3,650,000/=
Call/WhatsApp 0749417334
UBUNGO DARAJANI
SIMU NI MPYAaa
Habari?
Una uhitaji wa BUSINESS CARDS?
Naweza kukufanikishia kwa kukufanyia DIZAINI BURE na Kisha kukuletea zikiwa 100PC PRINTED kwa TSH 25,000/= tu.
Material ninayotumia Ni GROSS PAPER GRAM 300...
Habari nauza mabanda hayo yako mawili ya kufugia yameisha kabisa na bado kuna kiwanja kimebaki kikubwa tu pembeni eneo lipo chanika mvuti mwisho sio mbali na barabara kabisa bei ni million6 kwa...
Habari zenu wakuu.
Mwenye uelewa naomba aniisaidie hapa Natafutaa warehouse kama kichwa cha thread kinavyojieleza hapo, either kwa kupanga au kununua kabisa.
Lakini kabla ya kufanya uamuzi...
Habari wakuu! Nahitaji kupata jenereta nzuri ya 25kVA – mpya au used.
Kama kuna mtu anafahamu wapi naweza kupata na bei zake zinavyorange, tafadhali naomba ushauri wenu. Asante!
Plot ipo barabaran kabisa
Ina hati ya kisasa
Plot imejengwa nyumba za kisasa za kupangishwa ikiwemo fremu saba za biashara.
Huduma zote za kijamii zipo ikiwemo maji na umeme
Plot ina ukubwa wa...
Nauza betri used zlizotumika kwenye minara ya simu
Ni betri imara ikijaa mpk ije iishiwe moto sjui uwe na matumiz gani
Zipo zenye uwezo wa kuanzia 100ah/N mpk 150ah/N
Bei za 100ah/N ni 185000...
Wakuu nipo mkoa mojawapo wa Kanda ya magharibi hapahapa Tanzania 🇹🇿.
Nipo maporini kidgo kwenye fursa ya kilimo..lakini eneo nilipo huku Kuna Kobe wengi maporini.
Vipi Kuna fursa ya kuwauza au...