Habari wakubwa! Natoa mafunzo ya Microsoft Excel kwa undani zaidi. Watu wengi wanaitumia lakini hawawezi kuitumia kama database ya biashara yao kwa kutunza rekodi za bidhaa, mauzo au manunuzi...
Habari zenu wadau, kama kuna mtu anahama hivi karibuni maeneo ya Makumbusho, Ubungo, Kijitonyama na maeneo ya karibu naomba anicheki.
Kama kodi imebaki miezi kadhaa tutamlipa.
TOYOTA HARRIER OLD MODEL (DMS)
Manufacture Year: 2001
Engine Capacity Cc: 2150cc
Mileage: 115,000km+
Fuel: Petrol
Standard features:
Transmission: AUTOMATIC
Asking For: 14.5M
For more details...
Baada ya mavuno ni matumizi, naombeni msaada nina bajeti ya sh 250,000, naweza kupata godoro gani imara na la kudumu 5*6 inchi 8 ambalo haliweki shimo ukilalia na mtoto maana sitaki aibu, si...
Hii ni nyumba ya kuishi na familia, inauzwa ipo Mapinga-Bagamoyo Road kwa bei ya Tsh. 18,000,000 (Milioni 18) lakini majadiliano yanaruhusiwa.
Nyumba ina vyumba vitatu vya kulala ikiwemo Masta...
Habari,
Je unataman kumilik ardhi na hujui utaipata wap?Karib kwetu tukusaidie update ardhi nzuri kwa bei nafuu kabisa
tunauza Viwanja na Mashamba,
VIWANJA
vipo KIGAMBONI
-kimbiji Golani...
Karibu Rems-africa consultancy kwa ushauri na usaidizi kwenye sekta ya fedha, bima na teknolojia ya habari. Tunapatikana posta ya zamani, Dar es salaam mtaa wa mkwepu, jengo la posta.
Au...
MILIKI kiwanda chako kwa kununua mashine kutoka mtandao unaomjali mteja Tunaendesha karakana mbili vingunguti na kusukulu pia tuna mawakala nje ya nchi Kwa machine ambazo hatuzalishi hapa...
Kiwanja chenye ukubwa wa mita za mraba 2921 (zaidi ya nusu eka) kinauzwa.
Kiwanja kipo Kibaga- Kinyerez karibu na Songas-Kinyerezi Plant. Kiwanja kinafaa kwa shughuli za biashara, Makazi na...
Habarin waheshimiwa,
Nauza boxer bm 150 km inavyoonekana kwenye picha sababu aina matatzo sana labda indicator na saintmirror pia na ila ni kuwasha na kuondoka ina kadi yake original kabisa...
Wakuu salama
Naitaji Tshet zile ambazo zinakuwa picha ya mhusika,
Mfano inaweza kuwa ni picha yangu au picha ya anything I want
So mtu yoyote anaehusika na mambo ya tishert printing anidm
Habari ya wakati huu wakuu, ninahitaji zile office cabinet ambazo wengine huzitumia kwa kuhifadhia nyaraka muhimu kwa isalama.
Naomba nielekezwe duka lilipo au mawasiliano ya ofisi husika.
Pia...
Habari za muda huu wakuu,
Ningependa kujua wapi naweza pata maduka yanayouza vifaa vya maabara mkoani Dar es Salaam. Ninahitaji soil testing kit.
Asante.
TOYOTA IST
Make : Toyota
Model : Premio
Manufacture Year: 2004
Engine Capacity Cc: 1790cc
Mileage : 82,000kms
Fuel: Petrol
Full AC
Asking For: 9.8M
For more details kindly
Text or Call +255...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.