Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Nina pesa hizi mbili za zamani nahitaji kubadili Kwa picha hizi chini
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Salute wakuu Natoa rai kwa wafanyabiashara na wajasiriamali ambao mnauza bidhaa au huduma mbalimbali mtandaoni , na unahitaji kuletewa wateja wa uhakika kila mara tuchekiane. Nna skills za...
2 Reactions
4 Replies
775 Views
Ni mashine yenye uwezo wa kuchana mbao nyingi kwa mda mfupi na kwa kutumia watu wawili tu. Pia ni chombo kinachobebeka kwa maana ya kuhamishwa mara kwa mara. Zipo za aina mbili Inayotumia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wanaJF Naomba kuuliza kua hivi, T-shirt za Manga zinapatikana kwa ujumla kwa bei gani na ninawekuzipataje nipo Arusha.' Asante
0 Reactions
14 Replies
8K Views
Habari wadau Nauza mashine ya kuprint tshirt heat press machine heavy duty Inatumika kuprint picha na maneno kwenye tshirt Inafaa sana kuchapa tshirt za kampeni za wagombea.. na tshirt za kumbu...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kampuni ya helmic group tunakodisha magari aina zote kwa matumizi mbalimbali kama ya ofisini, safari za mikoani na za kitalii na kwa maharusi. Wasiliana kupitia email: kinshagad@helmicgroup.com...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mashuka safii na mazuri ya Mtumba kutoka UK. (Uingereza)100% cotton Size7×8 Wakazi wa dar es salaam unaletewa kwa sh elfu mbili . Mashuka mawili na Foronya nne tsh 50,000 Shuka moja foronya mbili...
1 Reactions
2 Replies
37K Views
Suzuki carry Namba C inauzwa, iko barabarani. Picha hizo hapo nicheki mmiliki tumalize. Kama ni dalali fanya unavyoweza inifikie 3 kamili 0744733449. Niko Njombe.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nauza laptop hii ya Dell...Duo Core 2.3ghz..ram 2gb...hdd 250gb Bei Tsh. 450,000 napatikana Dar..Mikocheni
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Kwa Safari za Dar-Arusha-Dar kila siku Aircraft type E120 Dar-Ark.. Muda wa Safari ni dakika 55.. Gharama za Usafiri ni 150,000Tzs. Mawasiliano 0757640561
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari wakuu Naomba kujua ni namna gani naweza kupata kitabu alichoandika Hayati B.W Mkapa Niko Mwanza.
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Ndugu, Hebu nielekezeni mji wowote au mtaa wowote hapa nchini, ni wapi wanauza au kuchoma nyama ya kondoo. Najua Vingunguti kunauzwa Mbuzi na sasa hiv X-mass iko karibu hakukaliki. Bucha...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Kifahamu king'amuzi cha DStv Explora, Gharama zake na kinavyofanya kazi. DStv Explora ni nini? Hii ni jamii nyingine ya king'amuzi cha DStv chenye uwezo wa kufanya yafuatayo. 1. Kurekodi kipindi...
4 Reactions
6 Replies
3K Views
Habarini wakuu. Nina shida na meter ya 3 phase . Kuna watu huvuta umeme kwa ajili ya biashara zao,baadae hubadili matumizi na hivyo kukosa matumizi na meter ya umeme ya 3 phase. Naomba connection
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Leagoo M9 Inauzwa. 2GB RAM + 16GB ROM Memory Dual SIM 2850mAh li-polymer Battery. Imetumika wiki moja tu, haina tatizo lolote. Inapatikana DSM Ukihitaji ni PM
0 Reactions
2 Replies
844 Views
Binder,Scanner.Printer.Photocopy machine. Lamination machine. na Meza ya computer ukitaka kuniuzia niuzie kwa bei ndogo kidogo!
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Habar wanajamii.Naomba mniambie wapi naweza pata HP printer,laminator,paper cutter,binding machine.Mwenye navyo anipe mchanganuo ili niweze kuwasiliana nae.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari!! Mimi nimeamua kuwa mjasiriamali. Natengeneza TAMBI za dengu. Crips za viazi na muhogo na ndizi.. nauza kwa jumla 800 kwa pact na wewe utauza kwa 1000 pct. Kwa atakayetaka bidhaa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tupo kurahisisha biashara weka specification za device yako Contact na Muda wa matumizi tatizo likiwepo kuwa huru maana hii biashara huria Nawasilisha.
3 Reactions
384 Replies
58K Views
Back
Top Bottom