Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari zenu wakuu humu ndani samahani naomba kwa yeyote mwenye kujua kiwanda au viwanda vinavyosaga unga wa dengu kwa dar es Salam anisaidie kunifahamisha nilikuwa nashida napo. natanguliza...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
nahitaji playstation kwaajili ya game mwanza zinapatikana wapi? au nisaidie mawasiliano yao
0 Reactions
1 Replies
1K Views
5d mark ll,7d mark ll na 60d Nipo Sinza Mawasiliano karibu na chuo Cha SHERIA +255686600910
0 Reactions
1 Replies
985 Views
nakupa CPU na MONITOR ya LG ambayo ina ukubwa wa 25"( monitor ukiplay video haioneshi vizuri lakini linafaa kwa kusomea na mambo mengine), ipo VGA, na power mbili( wire) ina ram 380( ddr 1) mb...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu? Ni wapi kuna soko zuri la kuuza zao la dengu kwa sasa kwa yeyote anayejua tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
508 Views
Iwe na sifa zifuatazo: - Single chamber - 4 bags sealing at once(mifuko minne kwa mpigo) - Double sealing(kushoto na kulia) Kama unayo naomba unicheki inbox chap kwa haraka.
0 Reactions
5 Replies
864 Views
Mwanza plots for sale Call/whatsapp 0786611014/0712376898 Location: Kisesa Mwanza Size: 600 - 25,000 sqm Price: Tsh 8,000 per sqm.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu wasalamu. Kama kicha Cha HABARI kinavyojieleza. Kama Kuna MTU yeyote mwenye mashine tajwa hapo juu tv nch 32 naomba tuwasiliane pm ili tufanye biashara. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nategemea kuja Dar kutoka ng'ambo hivi karibuni, na ninataka kukaa karibu sana na mlimani mall ili niwe naenda kwa miguu toka hotelini ingawa mguu wangu mmoja ni mbovu kidogo, natafuta hoteli...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Sifa zake. Ni mashine imara. Huchana magogo mengi kwa mda mfupi na kwa ulaji mdogo wa mafuta na umeme kwa ile ya motor engine. Inaweza kubebeka. Inapatikana Arusha,Tanzania. Bei ni shillingi...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
moja kati ya bidhaa zinazohitaji mtaji mdogo sana na zina profit margin kubwa ni liptherapy na bidhaa nyingine nyingi ndogondogo za urembo. bei ya jumla liptherapy moja ni TSh 1200. minimum oder...
0 Reactions
3 Replies
688 Views
Kiwanja kinauzwa Kina ukubwa wa 900 sqm Kiwanja Kipo Kigamboni Gezaulole Umbali wa KM 2 kutoka Barabara kuu ya lami.Kiwanja hakina hati.Bei ni TZS Mil 14.5 Kiwanja kina ukubwa wa sqm 300 kipo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wana Jamiiforums wote, Swal langu ni Je! kwa Kariakoo, ni mtaa gani naweza pata pete ya uchumba ama ya ndoa original gold or silver?? Msaada wandugu. Note.. MTAA
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Mambo vp, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza kitanda ni cha mbao 5*6 na bado kipo katika hali nzuri. Kinapatikana Buguruni Malapa. Bei 230000/=
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hello mwana JF Wengi wetu tunapata changamoto kupata wallpaper nzuri za simu. Ama tunaweka wallpaper zinazotuumiza macho kwa namna moja ama nyingine au tunatumia wallpaper lakini imekuchosha na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakina Dada/Mama kupendeza ndo habari ya mjini, Popote ulipo tunakufikia kwa gharama nafuu kabisa, vitu Original kabisa hakuna copy. Bei 55,000/= ukichukua zaidi ya 3 punguzo lipo WhatsApp...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Google Pixel 3a for Sale Released 2019 New, full boxed (protector, cover, charge and usb type C to C fast charger, sim pin ejector) Ram 4 Gb Rom 32 Gb Best Camera Bei 595,000 NO EXCHANGE Nipo...
0 Reactions
0 Replies
563 Views
Habari mwana jf; karibu ujipatie subwoofer aina ya boss kuna ya spika 3 pia kuna spika 5 zote ni mpya na zina warrant ya mwaka 1 zote izo zina uzwa bei poa na utaletewa kwa laki 195,000 kila moja...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wauzaji wa viatu vya kimasai jumla na rejareja Tunapokea Oda pia Mikoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa Jumla kuanzia pic3 Tunapatkan.mbagala kuu/kijich Whatsap&call.0675172174.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Je! Una nguo za zamani ambazo unazipenda lakini huwezi kuzivaa kwa sababu Zimepauka? Tunakusaidia Kuifanya kuwa mpya kwa kuikoleza rangi.[emoji153] Tunakusaidia kubadilisha Rangi [emoji156]...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Back
Top Bottom