Nauza Toyota Brevis bado mpya kabisa
Gari anatumia mzungu yupo Arusha
Gari iko vizuri sana
Full ac
Full documents
Bei milion 9.5
Nipigie 0719909692
0763166893
Karibuni
Cover waterproof za simu
[emoji93] Haziingizi maji na unaweza kutumia simu ukiwa kwenye mvua au unaogelea.
[emoji93]Zinafaa kwa smartphone za aina zote.
[emoji93]Bei 8000sh kwa piece moja...
HIFADHI MAZAO BILA KUTIA DAWA
Kwa ajili ya kulinda afya ya mlaji, tumia mifuko ya kisasa (helmetic) kuhifadhi mazao yako. Mifuko inaitwa PICS Na AgroZ.
Ukubwa: kilo 100
Bei: 4000
Tutakutumia...
• Umsaidia mfanya biashara kujua changamoto
za kiuchumi, tafiti za kifedha na ushindani
wa kiuchumi kwa ajili ya kusaidia kukua kwa
biashara.
• Utumika kama nguzo ya utawala katika
kuelekea...
Nyumba ipo Mwenge jirani na Afrika Sana. Anahitajika muwekezaji atakayeingia ubia au kutoa mkopo wenye riba kwenye kuendeleza eneo hilo kibiashara.
Nyumba inafaa kuboreshwa ktk maeneo/malengo...
Nyumba ya kupanga inauzwa Tabata Reli karibu na ukumbi wa mikutano wa Blue Sky.
Sifa;
Ina vyumba 10 vya kupanga
Ina parking ya Gari 1 ndani special kabisa
Ina maji na umeme
hati ya nyumba ipo...
Tunafunga madish ya aina zote na pia pia tunafanya kazi za umeme.
*Tunafunga madish ya Azam, dstv, zuku, star times na mengineyo.
*tunafunga madish ya freesate
*Tunafanya wireling ya kwenye...
Salamu wana jamii,
Ninatangaza matengenzo ya plastic aina zote mfano semtank, bumper za magari, viti na meza za plastic pamoja na fiberplastic. Nakufuata popote kama umeme upo sehemu isiyo na...
Nauza Iphone 7 Plus 32 GB - USED.
Kama mpyaa.. kila kitu funciton as new
95% Battery Health
Price: IMESHAUZWA
Location: IMESHAUZWA
Contact : IMESHAUZWA
Full Boxed
TP Link MR6400
Super fast 300Mbps
Support Simcard (All Networks)
Can Connect 32 Devices
Price: 180K Fixed
Location: DSM
Contact: 0679029498 Call/Txt/ WhatsApp
Nauza vifaa vya biashara ya chips
Meza ya plastic 1 na viti 4
Kabati la kioo na meza ya mbao
Majiko 2 ikiwepo na la mshikaki
Sahani 11
Karai ya kukaangia chips
Vikaangio viwili
Jumla 350000...
Wana bodi habari za majukumu na poleni kwa msiba huu mzito wa kuondokewa na Raisi mstaafu B.W Mkapa.
Kama kuna mwana jamvi atakuwa na connection ya alteza ambayo ipo sokoni naomba aje PM, pesa...
Habari msomaji!
Kama kichwa cha habari kinayoeleza ninauza bata bukini wadogo wenye umri wa miezi 6. Idadi yao ni 6 na kati yao madume mawili na majike manne (4).
Napatikana mkoa wa Dar Es Salaam...
Habari wana jamii,
sisi ni wauzaji na wasambazaji wa fabrics na pia tunauza tshirts aina zote round neck pamoja na polo best quality kwa bei ya kiwandani.
Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana...
Uki _ dial *102*01# ujue salio lako, DAKIKA hazionyeshwi. Wanaonyesha Mb, na SMS. Kwanini dakika hazionyeshwi? Ni system failure au ni makusudi? kama ni makusudi, Wanaficha nini kama siyo...
Nitafute nikuuzie containers za MSC, Maersk, CMA CGM ya 20ft na ambayo yapo katika hali nzuri.. Au unaweza niagiza Conteiner kutoka shipping line unayoipenda wewe.
Ntakuuzia kwa bei chee ya Dola...
Ndugu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza mmiliki wa kampuni ya ulinzi ya THE NEW MILLENIUM SECURITY SERVICE CO.LTD anahitaji kuongeza share holder wawili kwenye kampuni yake.
Kampuni ina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.