Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Habari, naamini uko salama. Mimi ni agent natoa magari madogo na makubwa, container, loose cargo katika bandari ya Dar es Salaam. Pia nauza magari used na chassis pamoja na container za 20 feet...
1 Reactions
6 Replies
589 Views
Liwe sio mbali na Bagamoyo mjini kwasababu litajengwa hospital. Lenye hati litapewa kipaumbele
4 Reactions
7 Replies
342 Views
1 Reactions
5 Replies
347 Views
-Ukubwa wa kiwanja ni SQM 1045 - kiwanja ni Tambalale -umbali kutoka Fery ni KM 21 umbali kutoka baharini ni km 3 na kutoka Main Road ni km 3 kiwanja kipo Mtaa wa Shirikisho Document - serikali...
3 Reactions
19 Replies
661 Views
wadau, hasa wanaoishi Zanzibar naomba msaada wenu, Nitakuwa Zanzibar kikazi kwa mwaka mmoja kuanzia mwezi wa sita. Natafuta Nyumba ya kupanga 2 Bedrooms ikiwa master room ni vyema zaidi...
1 Reactions
23 Replies
17K Views
Zipo aina kadhaa za kutengeneza CHAKI kulingana na uwezo wa mtu binafsi. Kwa kijana mjasiriamali unaweza kuanza na mashine ndogo na baadae ukishakuza mtaji unaweza kutafuta mashine kubwa zaidi...
2 Reactions
4 Replies
7K Views
Natoa computer courses for beginners na computer programming classes pia. Ms-office, excel, PowerPoint, access, publisher na programming classes kama c,c++, java. Mwenye uhitaji piga 0759-124378...
2 Reactions
6 Replies
291 Views
Heavy Duty Scale Balance 1. 80 Tonnes (Used) - Tsh 76.3M 2. 60 Tonnes (New) - Tsh 81.75M Karibu
0 Reactions
4 Replies
245 Views
Habari wana JamiiForums, Kuna kitabu changu ninakiandika, na bado kidogo kukimalizia. Nataka kujua ni utaratibu gani niufuate ili niweze kukiingiza sokoni na pia nahitaji kujua gharama za...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Hapa kuna masharti 20 ya kulinda kipato endelevu kutoka majengo ya kupangisha ambayo yanaweza kuwekwa kwenye mkataba wa upangishaji. Kila sharti linatoa mfano halisi ili kusaidia kuelewa jinsi...
1 Reactions
0 Replies
698 Views
Wana JF za kazi? Naomba msaada wenu kuna Idhaa ngapi za kimataifa za Kiswahili duniani. Naomba mnisaidie kuzitaja na nchi zilipo. nafanya utafiti. Na kwa walioko katika Funga nawatakia Saum Maqbull
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Habarini, wapendwa nilipata shida kidogo nilikuwa nataka kujua wapi naweza uza pete ya Tanzanite kwa Dar es salaam?
1 Reactions
4 Replies
278 Views
Habari zenu wadau, Nipo mwanza nilkuwa nauhitaji wa winchi kubwa kwanzia TAN 25+ Please mwenye kujua anijuze naipata wapi 0614853457 pls
1 Reactions
7 Replies
232 Views
Nunua kiwanja kwa bei chee. Mbezi Msakuzi Makabe 18×22 kiwanja kina nyumba kuu kuu ya vyumba 3 bei mln 20 Kiluvya Gogoni 22×25 bei mln 9 Kiluvya kwa Komba 20×20 mln 6 Kiluvya kwa Sumaye...
2 Reactions
270 Replies
16K Views
Hi Ni router za ukweli sana hauhitaji router ya kila kampuni insupport mtandao wowote ule online kama unapata si chini ya 200,000 hata kwenye soko la china.. Mimi nauza nusu bei yaani 120,000...
0 Reactions
1 Replies
250 Views
Hotel Amenities kwa nusu bei!!! Tunauza Bidhaa za kipekee za kisasa. (International Standards) Zimetengenezwa mahsusi kwa Hoteli za Nyota 3 na kuendelea. Tunazo Dental kits(Mswaki na dawa yake)...
0 Reactions
3 Replies
201 Views
Tofauti Kati ya Mji Mdogo (Township Authority) na Mji Kamili (Town Council) Mji mdogo (Township Authority) na mji kamili (Town Council) ni ngazi mbili tofauti za utawala wa miji, zenye mamlaka na...
1 Reactions
0 Replies
282 Views
Habari, naomba kujua aina gani ya Chainsaw mashine ni bora kwa kupasua mbao Na bei zake zikoje kwa Dar Nasoma coments
0 Reactions
6 Replies
920 Views
Nauza gari aina ya IST namba CLW Bei ni mil 6.6 (inapungua kidogo) Gari ni nzima sana Napatiakana Shekilango nyuma ya ofisi za Shabiby na mawasiliano ni: 0659781878 Madalali plz hapa si mahala...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
• Direction: Opposite JNI Airport, Nyerere/Pugu Road • Facilities: 3 frames, 1 warehouse • Plot Area: 590 sqm • Document: Title deed • Price: TZS 320 million • Site visiting charge: TZS 30,000 . ✓...
1 Reactions
0 Replies
111 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…