Habari ndugu zangu,
Mimi ni msanifu kwa lugha ya kiswahili lakini lugha ya mzungu ni Graphics Designer na kwakuwa nafanya aina zote za usanifu wa digital multimedia includes interactive...
Salaam,
Kiwanja kinauzwa kipo Tegeta wazo (mji mpya)
Kutoka njia panda wazo ni km 6
Kiwanja kipo kwenye mtaa mzuri na uliopangika
Ukubwa wa kiwanja ni sqm 1200
Kiwanja kipo full surveyed
Bei: 35m...
Habari wakuu.Kutokana na kuhamia biashara nyingine ya mkaa mbadala, nauza biashara ya yangu ya utengenezaji sabuni bila kutumia mashine iliyo na makazi mapya hapa Kibaha mjini,kata ya Misugu sugu...
Habarini wapendwa wana JF.
Nauza bedsheets /shuka pamoja na foronya zake nne kama inavyoonekana kwenye picha, shuka ni 6 x 6.
Kwa bei ya jumla ni 55 elfu na reja reja ni 70,000.
Napatikana...
HNCS(Hadi Nyumbani Car Services)
hii ni kubwa kabisa kwa wakazi wa Dar es Salaam na Vitongoji Vyake
Inakusogezea Huduma zote za car services kwa ajili ya gari yako kwa kukufuata hadi nyumbani...
Habarini,Wale wanaohitaji pikipiki used made in japan tuwasiliane tuanze na hii ya hapa Chini
Type/Model of Motorcycle DT175 Yamaha
Fuel used Petrol
Engine capacity:171,two stroke
Year of...
Ndugu zangu nahitaji vts new model bajeti yangu ni mil 4 Hadi 4.7 mwenye nayo tuwasiliane kwa namba 0712348834 au 0653165134
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu Habari za hapa jukwaani.
Natafuta chumba cha kupanga maeneo ya karibu na airport (JNIA) kiwe na sifa zifuatazo:-
1. Kiwe ni Master Bedroom.
2. Kiwe chumba kikubwa.
3. Kiwe na LUKU ya...
Nahitaji kupata bidhaa tajwa hapo juu.
Naomba kufahamu anayeuza tuwasiliane aniuzie au anayefahamu mahali inapouzwa.
NB Nahitaji kiasi kidogo, 1 kg maximum
Ntashukuru sana.
Heri ya mwaka mpya...
*Toyota Opa*
Cc 1790
1zz engine
Year 2000
Automatic
Fm radio
Full Ac
Leather seats
Sports rims
Full document
Price : 6.5M
Call 0711600998 au 0684311401
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanajamvi Km Heading Inavyojieleza Nnahitaji Kuanzisha Bihashara Ya Kuuza CD Hasa Zilizo Tafsiriwa.
Hivyo Nahitaji Kujua Chimbo Hasa La Upatikanaji Wa Mzigo Kwa Bei Ya Jumla.
Habari wakuu! Kiwanja chenye ukubwa wa square meters 600 kinauzwa Tshs 6,500,000. Kiwanja kimepimwa na Manispaa ya Morogoro na hati ipo hatua za mwishoni kutolewa. Kiwanja kipo Kingolwira karibu...
Kipo kitungwa$ bear nanenane) nyuma ya like gorofa kubwa linalojengwa pale. Kina hati Square meters 876. 15M. Takribani meter 300 kutoka barabara kuu ya Moro -Dar. Njoiin vo
kwema wakuu, nko dar natafuta gari ya mkononi, bajeti 4-5M, vitz/Glanza/carina......nk..cc900-cc1500.. Sihitaji yenye piston 3, ukinirushia picha DM ntashukuru zaidi.
Internal storage Gb 8
Network 4g
Used like new haina tatizo lolote wala crack
Price 120,000
0654846084
Ukilipia 125,000 nakupa na memorycard ya gb 32
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.