Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Nimeuza gari mnunuzi hajafika bei nzuri na gari kaipenda ikabidi tuvue rims tufidie palipopungua Nataka 1,000,000/= Rim na Tyre zake zote 4 Size 24 Sports Rims +255788282409 Kinondoni
0 Reactions
0 Replies
517 Views
GOLDEN HOUR TSH.70,000. Digital and analog, water resistant, mikanda yake ni stainless steel, warranty ni mwaka 1, Free delivery in Daresalaam na mikoani tunatuma kwa gharama nafuu Sana.kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Haina tatizo Ina betri lake Lenz 18_55mm Mawasiliano. 0757 936 699 Dar es salam, Kinondoni .
0 Reactions
3 Replies
864 Views
Habari Wana JF, Wahi ofa yako Sasa uendeshe gari yako this 2020 specifications NI Kama zifuatazo Subaru Impreza (DRV) Year 2010 Cc 1490 Push to start Clean seats Sports rims with new tires Full...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wanazengo, Ninauza machine ya ice cream ikiwa bado mpya (haijatumika sana ni miez 2), inauwezo wa kuzalisha ice cream elfu 6 kwa siku. Utapata mould zake 2 na ukihitaji maji yake ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nauza masofa shilingi laki 7 (Tsh700,000/=) mwenye uhitaji anicheck 0764124429. Mzigo upo kongowe ya Mbagala, njia panda ya kwenda Kigamboni.
0 Reactions
0 Replies
570 Views
Aminia games tunakuletea PS2 COMPLETE INAUZWA 160K Ipo katika hali nzuri imechipiwa Ina memory card ya kuboot na kusave ina flash disk 8gb na games 4 unazopenda Ina pad mojaina cables zote,(waya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
- Umbali ni 5 km kutoka kituoni barabarani ya lami (Taliano bus stand) -Eneo ni Tambarale -Jumla ya Ukubwa wa Eneo ni Heka 4 ndani yake kuna viwanja vitano ambavyo vimepimwa vyenye ukubwa wa 3300...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza seat covers za viti vya harusi kwa TSH 10,000 kila moja na Sashes za viti kwa TSH 8,000 kila moja (used). Seat covers zipo sampuli nne za rangi nyekundu, pink, cream na brown (chocolate)...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Baiskeli elfu 70 tu usafiri wa mjini huu Godoro elfu 55 tu lina foronya lake 4*6 Sofa zipo tatu kila moja laki moja na 70 tu Jidakie haraka sana hizi sofa Feni elfu 32 tu TV chogo inchi 24 laki...
0 Reactions
2 Replies
740 Views
Sofa zipo tatu kila moja laki moja na 70 tu Godoro zipo tatu Moja -85000 La pili -65000 La tatu -55000 Baiskeli -85000 Vitu used bei kitongaaaa ni najidakia store piga simu 0762612213
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa picha na maelezo zaidi piga simu... 0688351006 kwa maelezo zaidi.
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Meza ni mpya kabisa na viti vyake. Meza ziko40 kwa bei ya@26000. Viti viko 100 kwa bei 10000. Karbun, kwa mawasliano zaidi 0765697006.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
PRICE: 30,000 SHILLINGS PLACE: KIVULE, DAR ES SALAAM Njoo PM
1 Reactions
44 Replies
4K Views
Tvs king namba B ya 2017 Ipo katika hali nzuri, tatizo imekosa matunzo, haijawahi kufunguliwa injini wala kupelekwa bodi. Inafanya safari Ubungo Riverside> Mwenge Unafika unawasha na kuondoka...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Najidakia store Mbezi ofisi Beach tunauza Sofa zipo tatu Mbili mpya kabisa laki moja na 80 tu Na moja used laki moja na nusu tu Baiskeli elfu 80 tu Godoro 4*6 elfu 60 tu Vipo mbezi beach piga...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Sofaaa zinauzwaa kila moja laki moja na 75 tu ni mpya Na moja ni used laki moja na nusu tu piga 0762612213 Mbezi Beach Used ni hili jeusi Baiskeli elfu 75 tu
0 Reactions
0 Replies
677 Views
Mzigo Umewasili kwa bei nafuu kabisa.Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi au tembelea ofisi zetu zilizoko Mwenge Tower opposite Mlimani City Mall. 40ft 3axles flatbed trailer 50tons...
0 Reactions
0 Replies
767 Views
Kibanda ni cha kisasa, kina taa nne ndani na mbili nnje, kina feni ya juu, socket, switch kinapatikana Dar es salaam kigamboni ukitaka kuja kuja kukiona unakuja kukiona.. mawasiliano 0715584281
2 Reactions
10 Replies
6K Views
Back
Top Bottom