Habari wandugu
Napenda kuwafahamisha kua nina uwezo wa kufanya supply ya mbao (hard wood) kulingana na mahitaji ya anaehitaji mbao
Kwa yeyote mwenye kuhitaji awasiliane nami kwa maongezi zaidi...
Huduma ya M-pesa ya mtandao wa Vodacom inayoongoza Tanzania kwa watumiaji wengi, imetoa fursa kubwa kwa watu mbalimbali kubadilishia maisha na imetuingiza watu wengi kwenye mfumo wa kifedha...
OPPORTUNITIES
PAN OCEANIC INSURANCE BROKERS IS LOOKING FOR AGENTS ALL OVER #TANZANIA
We are an established business with a rich 18-year history, focus on modernizing insurance sales and customer...
Nauza desktop yangu aina ya HP workstation
Specs ni 750 HDD
Ram 5GB
Windows 10
Monitor screen ni 24"
Price 450k
Contact.. 0759870104
Sent using Jamii Forums mobile app
Waungwana nauliza ubora wa bati la kampuni ya Kiboko lenye jina la Corrugated Mangalore 28 blue kama linapauka ama lah, nimepita hapo kamaka limenipendeza machoni nataka nichukue nipaulie, msaada...
Fanya kunichek kwa namba 0759 432 654 niweze kukuingiza kwa orodha ya wateja watakaofanyiwa delivery buree
Earphone ni 9000
Usb ni 6000 tu
Jamani mzigo unakaribia kuisha na moshi pia nafanya...
Ndugu wana JF,
Kwa wale wote ambao wamewahi kumiliki au wanamiliki Toyota RAV4 hizi tafadhali naomba uzoefu wenu kuhusu unywaji wa mafuta, uhimili wa gari katika barabara zetu za bongo...
Mwenye Ram za desktop au laptop used aje pm . Desktop nataka zenye 4Gb na laptop za 2gb... 5 pcs each.
Location : Dsm
Sent from my iPhone using JamiiForums
Imarisha Maisha LTD ni kampuni binafsi inayotoa mikopo na huduma nyengine za kifedha Jijini Dodoma.
Aina za mikopo itolewayo:
1. Mikopo Binafsi
2. Mikopo ya Wafanyakazi
3. Mikopo ya vikundi.
kwa...
A.alaykum,
Husika na kichwa hapo juu naomba Mwenye kujua ni wapi Naweza kupata earphones aina ya AWEI kwa bei ya jumla na zunauzwaje huko?
Nataka fungua hii biashara lakin sijui wapi zinapatikana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.