Heshima mbele wakuu wa jamvi.
Leo nimepigiwa simu na sekretarieti ya ajira kutakuwa na interview muhimbili. Tafadhali nilikuwa sehemu mbaya kidogo
kwa hiyo umakini haukuwepo na binti alikuwa na...
Kama huko uliko website ya secretariat
inafunguka nisaidie kunitumia file jipya
linaloita watu kwenye interview tareh 5
na 6 November 2012, pia lile linaloita
watu kazini kwa usaili...
Jaman leo tumetoka kufanya usahil post ya afisa mtendaj kata daraja la pil tulikuwa watu kama 90 maswal tulioulizwa ni yale walioulizwa wenzetu wa dsm cha kushangaza wamechukuwa watu watano tu...
kuna watu wamewekwa hapa wanaitetea sekeretariat ya ajira kwa udi na uvumba. Hiv kwel nafasi zilizotangazwa tokea mwez may mpaka leo kimya wanaita tu watendaji wa vijiji, tuwaelewe vp? Mtihani na...
Elimu yangu ni ya kid.cha 6,"PCB".Nina ujuzi wa computer kidogo kutumia program kama Ms-word,Ms-Excel na Internet and E-mai.Kazi yoyote ambayo naweza nikamechi nayo kulingana na elimu yangu na...
nahitaji mfanyakazi wa ndani kwa aliyetayari, na kuishi kwa mwajiri, wapo watoto wawili na mama mmoja tu mshahara shs 50,000/= kama yupo tayari anipigie 0714 064767
Job Title: Program Officer cum Office Manager
Location: Dar Es Salaam
Start date: Immediately (ASAP)
Reporting to: Secretary General
About TPN:
Tanzania Professionals Network (TPN) is a...
A new luxury lodge is looking for suitable Tanzanian to fill the position
of *Front of House supervisor*.
Candidates applying for the above position should have the following
qualities...
GIS Specialist at World Vision
Monitoring and Evaluation Officer at International Rescue Committee,Tanzania
China-Africa Trade & Investment Coordinator at World Wide Fund For Nature in Dar...
SANCTUARY SPA THERAPIST
Candidates applying for the position of Kusini Massage Therapist should possess the following qualities:
- Qualification in massage therapy beneficial but not...
wanajamii wa TZ, tatizo la ajira linazidi kuwa kubwa na tabaka la wenye nacho na wasionacho linazidi kuwa kubwa, hii inatokana na ukweli usiojificha kwamba waliotokea kwenye familia za viongozi au...
Mwaka wa fedha 2012/2013 Serikali imeshindwa kutoa vibali vya ajira kwa wakati kama ilivyokuwa ikifanya miaka yote kutoa vibali vya ajira kwa watumishi wa kada ya afya mwanzoni mwa mwezi wa kumi...