Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Karibu kila halmashauri zimeshatoa orodha ya majina ya watu watakao shiriki zoezi la kuhesabu watu lakini cha kushangaza wilaya ya Iramba mkoani Singida .hawajatoa majina mpaka sasa hivi kunanini...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
kwa wanafunzi ambao ndio wanatoka fresh from vyuo imekuwa ngumu kupata kazi kwa kisingizio eti hawana experience! Je, hao walio maofisini walizaliwa na experience? Au nao walipita shule kama sisi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
CAREER OPPORTUNITIES IN THE BANKING SECTOR Advans Bank Tanzania, a commercial bank licensed by Bank of Tanzania, offers carriers opportunities to highly skilled and motivated professionals. The...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
jamani ndugu zangu najua kuwa hapa jf tumesheni wataalam ktk nyanja zote.naomba msaada wa kitu kinachoitwa traffic count,hii nafasi ilitangazwa na ilikuwa mahususi kwa wahitimu wa udsm niliomba na...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Jamani mimi nimehitimu chuo kikuu cha Dar Es Salaam clss2011,BA(Hon) In Geography&Environmental Studies.Nimejitahidi kwa JUHUDI ZANGU ZOTE kutafuta kazi japo ya aina yoyote ila sijafanikiwa hadi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
mwneye vigezo apply, wape pia wenzaka taarifa...kazi za kumwaga ndugu zangu
0 Reactions
7 Replies
3K Views
mimi ni mwanachama mpyaaa wa JF
0 Reactions
6 Replies
1K Views
ndugu zanguni,ninaomba kufahamu vyuo unavyoweza kusoma masters hapa tanzania ukiwa bado mfanyakazi,inaweza ikawa evening classes au distance learning kabisa.kwa anayefahamu naomba anijuze.my first...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wanajf ni kama mwezi umepita tangu tufanye usaili katika idara ya uhamiaji na walisema watatangaza majina ya wale waliopita kwenye usaili huo. kama kuna mtu anayefahamu ktk hili jaman anijuze lini...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wana jf; anatafutwa mhasibu mwenye uzoefu na anayeweza kuongea kiarabu vizuri. Kwa maelezo zaidi awasiliane na mimi kwa inbox.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Samahani lakini: jaman wana Jf,members na visitors,nimeangaika sana kutafuta ajira hapa Tanzania mpaka basi! Nimetoa photocopy kibao za vyeti na passport size kupeleka kwenye ofisi za watu,lakini...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Tembelea mbao za matango za kata au manispaa. Japo ndiyo hivyo wengine hatukubahatika!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wapendwa wanaJF, Salamu. Nimeitwa kwenye usaili COASCO wa Assistant Auditor. Ila kwa sasa ninafanya kazi sekta binafsi. Si ifahamu vizuri COASCO. Wakati naomba kazi nilikuwa sina kazi na...
0 Reactions
26 Replies
7K Views
USAILI WA TAASISI YA UDHIBITI WA MBEGU (TOSCI) ULIPANGWA KUFANYIKA TAREHE 20/08/2012 NA 21/08/2012. LAKINI KUTOKANA NA UWEZEKANO WA TAREHE HIZO KUINGILIANA NA SIKUKUU YA IDDI, USAILI HUO...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wakuu naomba kuuliza aliye na taarifa ya majina ya sensa kata hizo ambazo 2lishafanya usail alh 2julishane wakuu isije ika2pita man nilisikia tetesi kuwa watatoa leo.Msaada kwa hilo plz.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
vp wakuu mliopo Arusha mjini hiyo nafasi ya sensa vp, wameshatoa majina.?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Tunashangaa majina ya sensa wilaya ya hai hadi muda huu hawajabandika!!!!!Tatizo nini ufisadi au kukuchakachua
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nina mili 3 nataka kuanzisha bia shara mkoa wa morogoro je nibiasharagani inayolipa kwamkoa ule kwani mie nimgeni wa hapo
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani wale tuliomba nhif, je kuna mwenye tetesi interview wanaanza kuita lini? Alafu kwa wale wa jeshini nafasi kwa wenye professional zao tetesi nafasi ni mwezi wa tisa.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
BrighterMonday > Job Details > Support, Development & Implementation Resource [Jobs in Kenya, Tanzania & Uganda] Category: Information Technology & Telecoms Location: Dar es Salaam...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…