Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Exciting Career Opportunities at the Embassy of Ireland in Tanzania Introduction Are you looking to make a meaningful impact while advancing your career? The Embassy of Ireland in Tanzania is...
0 Reactions
2 Replies
139 Views
Mimi ni dereva wa tax mtandaoni nina leseni yenye daraja c nina acount zote bolt, uber, little ride na farasi. Nina uzoefu wa kazi hii, gari ikiwa ya mkataba au hesabu Mawasliano +255767630088
3 Reactions
11 Replies
280 Views
Nitangulize salamu zangu kwenu wapendwa Kijana Miaka 21 Me Elimu kidato cha sita Eneo Dar Ninahitaji msaada wenu wa kazi wakuu ninateseka sana mtaani sijui nianzie wapi Inafikia hatua nakata...
2 Reactions
20 Replies
317 Views
Habari Wana JF, Nauliza mshahara wa clinical officers 2 hua nishingapi kwa sasaivi kwa mwajiriwa wa serikalini
2 Reactions
10 Replies
599 Views
Wadau wanauliza kama kuna mtu anaufaham na osha na zile course zake na nafasi ya upatikanaji wa ajira baada ya kusoma zile course.
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau, Ivi fani ya ku operate mitambo mikubwa kama bulldozer, grader, forklift, na mingine HEAVY EQUIPMENT inalipa vizuri? Chuo chao kipo wapi, mwenye kujua utamu wa fani hii anisaidie tafadhali...
2 Reactions
13 Replies
5K Views
habarini wapendwa leo katika pitabpita zangu nikakutana na mikopo ya bajaji na bodaboda . aaah hapana nikauli mkopo wa bajaji nikaambiwa kianzio laki 7 (700000) rejesho kwa siku 27000 na ni...
4 Reactions
17 Replies
653 Views
Wakubwa nilikua naomba kufahamu mshahara anaopatiwa data scientist kwa upande wa goverment na private sector?
0 Reactions
6 Replies
644 Views
Tafadhali eti mshahara wa engineer wa halmashaur kiasi gani?
0 Reactions
42 Replies
25K Views
Naomba msaada wenu nijiandae na maswali gani,nimeitwa kwa mara ya kwanza na UTUMISHI,ni post ya MHANDISI MITAMBO DARAJA LA II (MECHANICAL ENGINEER) TEMESA Msaada wenu nipitie wapi job...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA Kumb. Na EA.7/96/01/L/144 17 Juni, 2021 TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI Katibu wa Sekretarieti ya Ajira...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari, naitwa omary ni dereva timamu,sina usumbufu kwenye mali ya mtu uwaminifu 100%.naweza kuendesha gari na Bajaji kwa boss yeyote mwenye uhitaji katika chombo kimoja wapo tajwa hapo juu iwe ya...
0 Reactions
0 Replies
49 Views
St. Augustine University of Tanzania The St. Augustine University of Tanzania (SAUT) is a private higher learning institution owned by the Tanzania Episcopal Conference (TEC) with a vision of...
0 Reactions
1 Replies
65 Views
Habari wakuu? Ndugu zangu mimi naishi Misugusugu Kibaha, hivi karibuni nimeanza kuona dalili za ukame kwenye kampuni ninayofanya kazi, jana nikaona niombe ruhusa kazini ili niingie zangu mtaani...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Wanangu majobless, Hakuna kitu inauma kama kazi za kujitolea. Yani unakuta hadi mwaka unakata, ukiangalia umri unaenda dah noma sana.
9 Reactions
29 Replies
601 Views
St. Augustine University of Tanzania The St. Augustine University of Tanzania (SAUT) is a private higher learning institution owned by the Tanzania Episcopal Conference (TEC) with a vision of...
0 Reactions
0 Replies
86 Views
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linakaribisha maombi kutoka kwa Watanzania wenye sifa zinazohitajika kwa nafasi ya Katibu Mkuu wa Jukwaa la Mabunge ya Nchi Wanachama wa Mkutano wa...
0 Reactions
1 Replies
68 Views
Habari JF members, Kuna kijana anatafuta kazi yeyote ile kijana anaitwa WAZIRI GAO. Elimu yake ni form four. Anapatikana Dar es Salaam. Alitoka Same akaja Dar es Salaam kutafuta maisha bahati...
6 Reactions
14 Replies
422 Views
Wakuu Mimi ni kijana mwenye miaka 25 naomba kazi hata ya saidia fundi nipo mkuyuni jijini mwanza Natanguliza shukrani.
3 Reactions
14 Replies
246 Views
Back
Top Bottom