Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Habari wakuu poleni na majukumu Niende moja kwa moja kwenye madam kama ilivyoainishwa hapo Juu Nina siku ya 3 Leo Kila nikijaribu Kumsaidia Mdogo Wangu kuomba hizi Nafasi za ajira zilizotangazwa...
2 Reactions
101 Replies
6K Views
FABEC Investment Limited is the Sub Contractor for WASCO ISOAF TZ LTD in the EAST AFRICA CRUDE OIL Project (EACOP) contracted to build the coating plant in EACOP coating yard in Tabora region...
1 Reactions
1 Replies
486 Views
Habari, Ofa ofa karibu ujipatie matairi Kwa punguzo la bei mwezi huu wa ramadhani. Matairi ya magari makubwa pamoja na magari madogo yote yanapatikana Kwa bei za kizalendo kabisa karibu ununue...
0 Reactions
1 Replies
80 Views
Habari, Kampuni ya Affluence Express Ltd iliyopo Dar Es Salaam na inayotoa huduma za Usafirishaji Vifurushi na Mizigo ina nafasi 3 kwa Vijana wa Kitanzania kama Ifuatavyo;- 1. Operations Officer...
5 Reactions
26 Replies
717 Views
Habari zenu jobless kwa graduates, waajiri kwa wakurugenzi n.k . Niende direct kwenye mada Kutokana na watu wengi kuhangaika kutafuta ajira na wengine kutafuta waajiriwa humu nimeamua kuja na huu...
79 Reactions
1K Replies
85K Views
Huu ni uzi maalumu kwa ajiri ya kushare Maswali ambayo ulishawahi kukutana nayo katika Interview za UTUMISHI (PSRS) kwenye kada tofauti tofauti iwe ni Oral,pract au written.... Acha swali...
21 Reactions
1K Replies
176K Views
Wakuu natumaini mpo salama ,, moja kwa moja kwenye mada .. Ni hivi katika ajira hizi zilizotolewa na utumishi hivi karibuni ,, nimeona walimu wa Economics wakizuiliwa vikali kuomba nafasi ya...
4 Reactions
11 Replies
508 Views
Kumbe ajira hamna!!!!😭😭 Sasa kwanini tusome ???? Tukisoma na ada ikipotea !!!!🙄 Nasoma namuogopa nani ???
7 Reactions
32 Replies
430 Views
Kama uko na ndugu au wewe mwenyewe tuwasiliane... 👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿 Update: Nimepata 5 interview kesho... Nitatoa mrejesho.. Asanteni sana kwa ushirikiano,🙏🏿🙏🏿🙏🏿
6 Reactions
31 Replies
522 Views
Habari za muda comrades, Naomba msaada mwenye uzoefu na interview za UTUMISHI kwa kada ya Counterfeits Surveillance Officer, ya FAIR COMPETITION COMMISSION, msaada wa nini wanauliza au waliuliza...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Hello naitwa jenipha Nimemaliza degree ya uhasibu chuoo kikuu cha Dar es salaam natafuta kazi naombeni msaada wenu 0713776534
2 Reactions
4 Replies
224 Views
Wadau naomba kuuliza hivi unaweza kupangiwa usaili wa mchujo(witten test) halafu usipangiwe usaili wa mahojiano(oral test)? Maana nimepangiwa usaili wa mchujo pekee lakini sijapangiwa usaili wa...
1 Reactions
12 Replies
378 Views
Msaada kujua maswali ya ICT tutorial assistant kuanzia step ya kwanza mpaka mwisho na aliefanya TRA
0 Reactions
0 Replies
90 Views
Habari Wakuu, Kiwanda Kipo Dodoma kinahitaji accountants waliomaliza chuo Mwaka jana(2024) au Mwaka juzi(2023). Naomba tuma CV zako kwenda hrfbde@gmail.com Angalizo: Usitume CV zako kama...
4 Reactions
6 Replies
205 Views
Hello mimi ni binti wa miaka 23 nimehitimu chuo kikuu cha Dar es salaam mwaka jana 2024 Bachelor of Commerce in Accounting. Mimi kama kijana nahitajii kazi ili niweze kutimiza ndoto zangu maana...
1 Reactions
1 Replies
82 Views
WAKUU, AMANI NA IWE NANYI. Ni lengo la sera ya elimu ya mwaka 1995 na 2014 kuwa na Mtanzania aliyeelimika, mwenye maarifa, stadi na mtazamo chanya katika kuchangia maendeleo endelevu ya Taifa la...
0 Reactions
3 Replies
239 Views
Jamani nia na madhumuni ya Uzi huu ni kupeana updates mbalimbali Kwa wale tulio omba ajira za jeshi la polisi 2024 kama Kuna yeyote anajua chochote kuhusiana na CCP akuje atupe mwanga, mbinu za...
15 Reactions
2K Replies
126K Views
Samahani nauliza hivi zoezi la uandikishaji daftari la wapiga kura kwa Dar es salaam limefikia wap? Kuna watu wameitwa? au process Bado? Majibu yenu.
2 Reactions
11 Replies
403 Views
Ndugu zangu, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 na elimu ya kidato cha sita. Nilichaguliwa kusoma chuo cha IFM kampasi ya Dar es Salaam. Mwaka jana nilisitisha masomo baada ya kupungukiwa na...
5 Reactions
20 Replies
588 Views
Cleaning Services Tender – Right to Play Office, Nov 2024 Terms of Reference for – Cleaning Services Location: Right To Play Office, Mikocheni, Dar es Salaam Contract Duration: Four Months...
1 Reactions
2 Replies
202 Views
Back
Top Bottom