Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Wajomba, Hivi baada ya ku submit transfer vacancy request katika mfumo wa ess utumishi kinachofuata fuata nini, je wanakujibu kama nafasi IPO au?
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Anahitajika Bachelor Pharmacist mwenye leseni kusimamia Phamarcy Location: Dar es Salaam NOTE : SIO LAZIMA YEYE KUWEPO PHYSICALLY SALARY : NJOO NA DAU LAKO Mawasiliano: 0767810030
0 Reactions
0 Replies
89 Views
  • Redirect
Kwema ndugu zangu? Mimi ni kijana miaka 22 nina elimu ya kidato cha sita. Nilikuwa nasoma chuo IFM mwaka wa pili ada imekosekana hivyo nimeshindwa kuendelea na masomo. Nilikuwa naomba mnisaidie...
4 Reactions
Replies
Views
Naelewa magumu wanayo pitia wanao tafuta ajira, kula yao tu MUNGU anasimamia. ila kuna ndugu zenu wamepata ajira halmashauri nao kichwa kinapasuka kwa madeni, stress na uduchu wa mishahara. Hela...
24 Reactions
215 Replies
14K Views
Kuna la kujifunza kwa waajiliwa wapya soma attachment.
2 Reactions
6 Replies
626 Views
Oya wazeee habari, ivi wataalamu wa interview za TBS embu tupeanile possible angles hasa kwenye kazi za 1. Food inspection officer 2. Quality assurance officer 3. Research officer
1 Reactions
8 Replies
305 Views
Naomb kujuan salary scale ya mkemia kwa tbs,gcla na tpdc,nimr,nm
1 Reactions
4 Replies
624 Views
Hello naitwa jenipha natafuta kazi ya receptionist naombeni msaada wenu 0713776534
4 Reactions
69 Replies
2K Views
Naitwa jenipha Nimesomea degree ya uhasibu chuoo kikuu cha Dar es salaam natafuta kazi naombeni msaada wenu 0713776534
2 Reactions
5 Replies
138 Views
Naomba kupata salary scale za "NECTAR" Naomba uelewe hilo neno NECTAR. Asante
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu! Suala ni hili wakuu, Nina online radio ambayo inasikilizwa kwa kiasi hapa nchini na zaidi ni nchi za nje kama Misri, Algeria, Germany, Finland, nk. Hali iliyopelekea watu wa nje...
16 Reactions
95 Replies
2K Views
Kwajina naitwa Saiid Omaly Ngulupy Nina uzoefu wa udereva wa miaaka minne .nimkazi wa chamzi .ninauzoefu wa gari zifuatazo garindogo ya aina yeyote .na kinzia tani moja ady 20 kwa gari za mizigo...
2 Reactions
4 Replies
126 Views
Mimi ni Mwanasheria (Wakili), wa Mahakama Kuu na Mahakama zote za chini. Uzoefu miaka 5+ Jinsia - Mwanaume Maeneo ya ubobevu ni: - Masuala yote ya Ardhi, Mirathi na Ndoa, Kazi na Ajira...
3 Reactions
8 Replies
227 Views
Job Title: Full Stack Web Developers Location: Arusha Company Overview: Masoco Africa Limited is a dynamic and innovative company dedicated to creating high-performance web applications. We are...
0 Reactions
1 Replies
69 Views
Anahitajika mwalimu wa kindergarten na Daycare kwa mawasiliano zaidi 0749928289
2 Reactions
2 Replies
156 Views
Job Title: Mobile Apps Developer Location: Arusha Company Overview:Masoco Africa Limited is a dynamic and innovative company dedicated to creating high-performance mobile applications. We are...
0 Reactions
1 Replies
75 Views
Job Title: Digital Marketing Officer Location: Arusha Company Overview:Masoco Africa Limited is a dynamic and innovative company dedicated to providing cutting-edge digital solutions. We are...
0 Reactions
1 Replies
77 Views
Habarini za leo ndugu zangu, mimi ni binti wa miaka24, Elimu yangu ni degree ya Mass communication in public relations and marketing Naombeni msaada wa kazi🙏 yoyote ile ambayo ni halali iwe ya...
2 Reactions
8 Replies
241 Views
1.naomba kufahamu kuhusu mishahara ya jeshi la zima moto 2.naomba kufahamu baada ya kuhitimu mafunzo ya jeshi la zimamoto wanakuruhusu baada ya miaka mingapi ukasome Tena
2 Reactions
92 Replies
16K Views
Back
Top Bottom