Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Tafadhali mwenye uelewa na usaddress.com ya paypal anipe elimu juu ya inavofanya kazi
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenyu wakuu.. Hili Swali langu linalenga Devices za Androids. Nafahamu Kuwa unaeza ukafanya Teathering n turn your phone into a wifi hotspot sasa SWALI langu ni kwamba JE inaezekana...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nini madhara kwa simu endapo hutumii charger yake original
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari ndugu, I've been using a Lexus IS200 Sportcross (sawa na Altezza Gita) for the past two years, now I'm kind of fallling in love with the wagons. Sasa nafikiria upgrading to BMW 3 series...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
DU HACKERS NI NOMA! JARIBUNI KUFUNGUA WEBSITE YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU Hacked By GeNiuS-JorDan muone walichofanya hackers! Wamehack hiyo site na kuacha majina yao na contacts zao na bendera( i...
1 Reactions
94 Replies
12K Views
PC yangu niki connect na usb au card reader ina niambia "USB NOT RECOGNIZED" naomben msaada nifanyaje?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Window 10 ya mwisho HAKUNA Window 11 Microsoft to stop producing Windows versions - BBC News Windows 10 is going to be the last major revision of the operating system. Jerry Nixon, a Microsoft...
1 Reactions
2 Replies
959 Views
Hapari wakuu, ninataka kufunga VIOP nyumbani kwa kutumia linux as my PBX server kwa kuwa sitatumia gharama nyingi. Kama kuna mtu ana ufahamu zaidi wa VIOP setup ambayo ni cost effective tupeane...
0 Reactions
2 Replies
751 Views
Naomba kushauriwa kuhusu jambo hili. ninalo group kule facebook lenye member zaidi ya elfu kumi na kila siku ninaongeza takriban wanachama mia moja. nawezaje kunufaika kibiashara na hili group?
0 Reactions
8 Replies
951 Views
Habari wana JF, Niulize kitu: Mfano nipo mikoani let's say huku Kigoma na nimekiuka hizi sheria bahati mbaya; watanikamata vipi?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nime download application ya ku run android app kwnye PC inaitw bluestack. Lakini niki anza ku install app ya android kwny pc ina fail je tatzo ni nini!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Waungwana wa jukwaa hili, Hamjambo wote? Nionavyo, jiji la dar linahitaji mapinduzi makubwa ya kiteknolojia kwenye eneo la usafiri wa barabarani. Watu wa dar wataishi na foleni mpaka lini...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wana JF. Nilikua naombwa kufahamishwa nawezaje kujua specifications za simu katika kuikagua simu husika bila kuamua kuisearch ktk net au kuangalia box lake. Mara nyingi naenda katik...
0 Reactions
4 Replies
816 Views
Niko kwenye harakati za kutengeneza Application ya Simu itakayowezesha Madereva kujua njia ambazo ziko congested na kuweza kutumia njia Mbadala. Mfano: Utaweza ku-interract na watu ambao wako...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Kutokana Na sababu ambazo sijaweza kuzifahamu inatokea kwamba tunaotumia windows phones tunapata wakati mgumu katika kutuma nyimbo "audio files" kupitia whatsapp. Sasa twende kwa pamoja...
1 Reactions
2 Replies
5K Views
Naomba msaada wana jf kabla sijaenda kwa mafundi,tafadhali
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wanajf kama ulikuwa hujapata habari hii! basi hapa panakuhusu sana,ogwatsapp inapatikana kwa wale mlioimiss kwa muda tangu na ambao hamkufurahishwa na ujio wa WhatsFapp basi karibu urudi enzi...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Ndani ya miaka sita ijayo engineering ipi itakua katika soko?
0 Reactions
8 Replies
978 Views
za asubuhi wadau polen na majukumu hebu ninaomba msaada kwa niaba ya wengine pia jinsi gani unaweza kuzuia adds zisitokee wakati unaperuzi mtandaon na hata ukishadownload baadh ya apps zinakuja na...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
wakuu, naweza vip kuzuia pop up zinazojifungua pindi nikiingia kwenye websites mbalimbali? kwa mfanohii hapa ilojitokeza nkia hapahapa jf nb natumia windows 8
0 Reactions
4 Replies
924 Views
Back
Top Bottom