habari wanajamvi? msaada kama ninaweza kupata key za data recovery PRO kwasababu nimeformat data katika local disc hivyo nimejaribu kurecover vitu vyote vinaonekana lakini inasema hadi niwe na...
habarini zenu jf
naombeni msaada nina movie katika laptop yangu ambazo zipo katika lugha za kirusi na zingine kichina sasa hebu niambieni wakati naplay can i change language to english?natumia VLC...
Nimeuliza dukani bei ya LG TV nikaambiwa ni Tsh 650,000 kw inch 32. Lakini Muhindi akanishawishi kununua HITACHI kwa 600,000, baada ya kuniuliza iwapo natumia mwenyewe ama naenda kuuza...
Nimejaribu kuunganisha tv aina ya samsung LED na simu samsung note3 kwakutumia waya USB lakini sikupata matokeo. Lakini ilikuwa rahisi sana wakati natumia simu ya nokia..naomba utalaamu wenu nini...
Habari waungwana
Nimekuja kuitambulisha statups yangu hapa inaitwa Street ICT ni wazo nililoanzisha nikiwa chuo mwaka 2013 mwezi wa 10.
Street ICT inajishughulisha na
utowaji wa elimu hasa...
waungwana habari za majukumu na imani mungu anasaidia niko na shida inayoitaji mtu mwenye uelewa mpana kiasi nimenunua box mpya kwa ajili ya kuunlock simu box zenyewe ni sigma na volcano utata...
wakuu naomben msaada jaman! nime5umiwa sim ña kaka yangu toka china, aina ya cm ni haier ni matoleo mapya aya, ina androi ya 4.22 na ina option 2 za internet yaan 2g na 3g lakin 3g haisapot...
habar wakuu naomba kujuzwa namna gani ninaweza fanya ili bundle langu la kwenye simu nitumie kwa ajili ya pc kama wireless PC YANGU NI DELL NATUMIA WINDOW 7 NA SIMU NI TECNO M3
Natanguliza...
Habari wanajamii, pole kwa wale wote mlio athirika kwa namna moja au nyingine kutokana na mgomo wa madereva hope now mpo majumbani mmetulia.
Niende kwenye point Naomba mwenye licence key za...
Wakuu msaada please..!! Batani zangu za Pc zina staki(zinakataa kufanya kazi) moja baada ya moja kila baada ya muda. Tatizo ni nini?? Kuna namna ya kutatua tatizo au ninunue keyboard nyingine...
Nimeinstall WhatsApp+ Reborn, kila step nimemaliza but nashindwa kutuma wala kupokea ujumbe.
Nimejaribu kuomba nitumiwe text, kwa mtumaji inaonekana text imenifikia lakini kwangu nashindwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.