Halloo JF. Naulizia kwa mwenye ufahamu kusuhu suala la polishing/waxing rangi ya gari. How long does it last? Does it affect the car paint? Nimepata scratches kwenye some parts of the bonnet...
Habari wa wkuu!
Nna Huawei mobile wifi lakini inaoparate line ya voda pekee, msaada tafadhali ni jinsi gani naweza ku_unlock ili niweze kutumia na mitandao mingine.
Thankyu!
Hi guys,
Naomba msaada, juz nikiwa natembea kwa miguu maeneo ya Mwenge Sokoni nimedonndosha funguo ya Gari pamoja na ya ofisi. Mvua ilikuwa inanyesha sana. Je, kuna mtu anayeweza nisaidia namna...
Habari za J2 wakuu. Kuna mtu mwenye laini ya voda nampigia simu tangia wiki imeanza naambiwa mtumiaji wa simu unayempigia anaongea na simu nyingine au simu iko bussy. Je ni kweli simu ikawa bussy...
Wataalam wa jukwaa hili naomba kuelekezwa online tv ikoje ikoje?
halafu kama nina apps nataka watanzania waitumie ikiwezekana wailipie
nafanyaje fanyaje......ningependa kuelekezwa kwa kutumia...
Wadau naanzisha Uzi huu kwa madhumuni ya kupata msaada. Mini Huawei Y530....nilifanikiwa kui-root... Nikafanikiwa bila wasiwasi..na nikafanikiwa kutumia faida ya Ku root kwa kung'oa bloatware...
Wadau amani iwe kwenu. Naomba mwenye utaalamu wa channels settings anipe frequencies za local Tanzania TV channels zinazopatikana kwenye satelite dish. Ahsanteni
Habari za mchana huu wWanajamvi.
Nakuja kwenu kuomba msaada wa kujua namna na software(nzuri) ya kurecover data endapo HDD imefutwa partitions wakati wa kuweka OS mpya.
Nitashukuru kwa msaada wenu.
Wadau naomba msaada kwa wenye ufahamu mimi natumia window 8 + samsung note 3 lakini na shida moja kila napo chagua file 10 kutuma kwenye computer inanitaka ni click kila file linapokuwa limeenda...
wakuu nauliza kwa mwenye ufaham kuhusu hizi patch zinazotolewa kwa ajili ya ku-edit pes 13, pes 14, pes 15 je hutengenezwa na watengenezaji wa game husika au na wadau tu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.