habari wana jukwaa?
screen yangu SANSAN inawaka vizuri lakin haioneshi picha,inatoa audio tu nikiunganisha na king'amuzi.inaonesha si kitu kikubwa kimepata hitilafu,naomba mwenye ujuzi na tatizo...
Nimepata PS 4 hivi karibuni.
Napata shida kucheza kila kitu kinahitaj ni connect online nina CD mbili lakin nashindwa kuzicheza zote zinasema Connect to internet/log in to PSN.
Msaada wenu hapo...
Habari wakuu, nimeanza kutumia whatsfapp siku mbili au tatu hivi zimepita, jana nilishangaa bundle langu la wiki ilimekata ghafla nikahisi labda nilizisha matumizi.
Jana usiku nikaunga tena...
microsoft leo wamezindua surface 3 ambayo itakuwa ni tablet dada wa surface pro 3, tablet hii inayorun full windows itakua na bei afadhali kidogo kulinganisha na dada yake surface pro 3...
Ninahitaji Toshiba Satellite U505, Duo Core Intel processor, 4GB RAM, 500GB HDD, WIFI, etc ,mpya, iliyotumika au mbovu. Mwenye nayo anijuze. Bei itategemea na hali yake.
Baada ya pita pita zangu katika forum yetu ya Tech, Gadgets & Science nimeona kuna jamaa yangu kajaribu kuelezea faida na hasara za Windows phone. Nami naomba nielezee faida nilizoziona kwa...
Software ya OGwhatsApp naona wadau imebuma tena.
Sasa sijajua ni kwangu au ni kwa wenzangu. Iliwahi kuwekwa hapa
jukwaani Utatuzi wa ya mwanzo ilipokuwa inahitaji update, na kuna
mdau mmoja...
Heshima kwenu wanajamii wenzangu....
Nina Samsung galaxy S4...tatizo la hii simu ni kwamba kila nikiingia youtube kutazama videos.....nakutana na video zikiwa hazina ubora kabisa na vivuli karibia...
Laptop yangu imepata matatizo huwa inagoma kurespond nikiwa naitumia na kuna message zinatokea then inajizima.... Na kujiwasha tena kama kuna mtu anajua namna ya kutatua swala hili naomba anisaidie
Ndugu zanguni, nina iphone ilikuwa inatumika uingereza kwa contract katika mtandao wa orange.. Bahati mbaya imekuwa disabled.. Ukiwasha inakwambia iphn is disabled connect to itunes.. Nisaidien...
Baada ya kupata somo la kutengeneza website hapa jamii forum, nilijaribu kutengeneza website rahisi na kui host. Jamani wadau naombeni mtembelee hiyo site halafu mjaribishe muone jinsi inavyofanya...
Habari wataalam, me nna HTC DROID DNA mpya, lakini kuna kitu sikielewi katika Simu hii, kila nnapoangalia Salio napata jibu lililoandikwa kwa kichina mpaka nachanganyikiwa na Salio lenyewe...
Wana jamvi naomba mnisaidie hili, nina simu yangu lg flex ni mpya sijaitumia, jana kuna option niliichagua ya ku update android ambayo ni os ya hii simu. Ghafla simu ikazima na kila nilipojaribu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.