Habarini ndugu , ningependa kujua kama kuna mtu yeyote anaprovide hii service au kama unamjua mtu yoyote naomba tafadhali unisaidie, nahitaji hii huduma
Ahsanteni , na siku njema
Wakuu poleni na majukumu
Shida ni kwamba natumia galaxy s4 gt i9505 jana nikawa najaribu kuingiza apps za kuroot simu yangu ila sikufanikiwa sasa leo asubuh naamka na sim ilikua on nakuta volume...
I need your hell guys my laptop is Toshiba has window 8 so I need to activate it, I already have an activator the issue is coming in the product keys of an activator
Can you help me to have that...
Msaada wakuu laptop haina sauti, kwenye icon ya voice imeweka red X.nmejaribu Ku update drivers bado..ila pia nikijaribu kuangalia device manager sioni driver yoyote ya Sauti.
laptop ni Toshiba...
Wakuu,Naombeni ushauri ,nimetengeneza mtandao wa kijamii wenye mazingira mbalimbali kama vile,Habari kwa ujumla,forum,Mtandao na Link ya ajira,Ikiwa kama ni wataalamu naombeni ushauri wa kimawazo...
Tarehe 28, Aprili 2015 ndio tarehe rasmi iliyotangazwa LG G4. Specifications peke yake hazitoshi kusema kuwa simu itafanya vizuri kwenye maisha halisi. Ila kama ni trend au muendelezo wa LG G2 na...
Anahitajika web designer mwenye uelewa wa hali ya juu kuhusu DRUPAL CMS kwa ajili ya kuongeza features kadhaa kwenye website. Mwenye ujuzi huo tuwasiliane kwa PM au mwenye kumjua mtu wa aina hiyo...
"CTB-Locker Malware Attack!
Dear friends,
Has anyone experienced this? URGENT HELP NEEDED!
Yesterday, i recieved an email via official univeristy student account, with an attachment! When i...
Bongo bwana...sasa ndio nini hii
Website ya wizara ya Afya...
Na wameajiri watu kwa kazi hii?
Hivi kweli hata kama mnatumia CMS, sawa basi hamuwezi kutengeza custom error handlers, ndio...
Hi wana JFNaomba msaada wa Serial Number/Keys za ABBYY Scan to office software, nilidownload trial version sasa inanihitaji ninunue.Yeyote mwenye msaada wa kupata FREE serial numbers please.
Have you ever heard about Internet of Thing????, Here it comes now you can control every home equipment by using your smartphone,you probably no need to turn of your light switch manually at night...
Jamani wana Jf naombeni mnisaidie,
nahitaji kununua computer leo lakini sijajua nianzie wapi?
au ninunue computer gani?
hivyo basi naombeni mnisaidie wataaalamu ninunue ipi?
na ni vitu gani...
Naomba msaada wa laptop yangu ambayo huwa naifungua kwa password. Ghafla password niliyokuwa nukiitumia haikubali. Niliyokwisha fanya ni yafuatayo:
1. Nimehakikisha capslock iko sawa ili nisije...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.