Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
zali all white party sasa imekuwa ni talk of the the town,kila kijana anaongelea zali all white party ambayo inafanyika leo pale mlimani city.nimeona isiwe tabu,nimeamua kuwaalika wale vijana...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wandugu, Natafuta fundi anayeweza kubadilisha wheelchair iwe na motor. If Possible kuifanyia marekebisho mengine madogo madogo. Please kama unamjua mtu anayeweza kuifanya hiyo kazi ni PM...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba wataalam mlio humu jf mnipe utaalamu. Kumtrack Bila kuwa na simu ya muhusika karibu. Nahitaji kufahamu anaowasiliana nao katika whatsapp na fb, maana nnaetaka kumtrack ni mpenzi wangu na...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Naombeni link ya ogwhatsap niweze kuishusha hii yangu imegoma leo nashukuruni sana
0 Reactions
6 Replies
2K Views
wakuu habari ya mei mosi?Naombeni msaada hii huawei flasher v1.6 mbona inastack wakati wa kuflash modem?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ninataka kushare printer yangu katika computer 4 ili niweze kuprint nikiwa kwenye computer yeyote.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba msaada wafunguo(key) za Lightroom 5.6 (window version x64 bits) unaweza kuweka hapa au uni PM,natanguliza shukrani.
0 Reactions
0 Replies
516 Views
Naomba usaidizi kwa mwenye kujua funguo(key) za ProShow Producer 6.0 unaweza kuniwekea hapa au uni PM,natanguliza shukrani
0 Reactions
0 Replies
819 Views
Naomba Key za ProShow Producer 6.0 kwa aliyenazo au anajua,natanguliza shukrani,unaweza kuniwekea hapa au uka ni PM.
1 Reactions
0 Replies
747 Views
Nina Top Dell Inspiron, ilikuja na Window Ubuntu, Nilivoitoa kuweka Wndw 7, nikiActivate tu inazima, hata ukuweka window iliyoActivatiwa kabisa inazima jumla, Ila bila Activation inakaa siku 30...
0 Reactions
5 Replies
877 Views
Nisaidien wana jf jinsi ya kufanya receiver mpeg2 mediacom ili kuweza kukamata channel nyingi
0 Reactions
0 Replies
854 Views
Wana jf naomben mnisadie frenq za chanel ten
0 Reactions
1 Replies
900 Views
Naomba mwenye kuzielewa hizi gari anipe somo kdgo kuhusu utumiaje wake wa mafuta spear ukimbiaji wake au matatizo yke na uimara wake
0 Reactions
1 Replies
991 Views
microsoft kuja kivinjari chenye corntana.named MICROSOFT EDGE.mwenye kujua feature zaidi afunguke coz window os karibia wananiteka
0 Reactions
2 Replies
749 Views
Jamani Kuna Bwana Mkubwa Ameniomba Ushauri Anataka Akanunue Usafiri Ila Amekataa Verossa,Mark X Kabisa Sasa Anataka Kati Ya Brevis Au Premio Nimshauri Ipi N:B Swala La Mafuta Huyu Bwana Ni...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu hembu mnisaidie,sijui nini kimetokea kwenye Computer yangu. Nikifungua google inafunguka kama kawaida,lakini kuna muda nimefungua hotmail imekuja erro hapo chini. Nipeni njia,maana siwezi...
0 Reactions
0 Replies
681 Views
Wakuu hembu mnisaidie,sijui nini kimetokea kwenye Computer yangu. Nikifungua google inafunguka kama kawaida,lakini kuna muda nimefungua hotmail imekuja erro hapo chini. Nipeni njia,maana siwezi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wakuu.Yani hawa jamaa sijui wataamka lini kwenye kitengo chao cha internet.Nimenunua bando la mwezi juzi, ile kuanza ku surf JF nkakutana na spidi ya kobe balaa,nika jipa moyo labda...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, naombeni msaada kwa yeyote mwenye uelewa anipe muongozo, nna huawei p6 updated to kit kat, nlii root kupitia twrp so mpaka sasa simu ina twrp recovery, sasa nataka niweke miui...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Heshima kwenu wakuu, Ulizo langu kwenu kuna uwezekano wa kuweka android inayosuport google services maana hii hakuna kitu... aliejaribu atumwagie ushuhuda
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom