Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
jamani nisaidieni simu yangu ina wahi kupata moto pindi ninapoitumia
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari jf,samahani naomba menu ya zantel university offers
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kuna appearance zinanzo jitokeza mara kwa mara kwenye cm yngu note 2 na matangazo kweli zinanikera wakuu nifanyaje kuzizuia
0 Reactions
4 Replies
1K Views
binafsi nmekuwa ni mtumiaji mzuri sana wa internet ya AIRTEL. katika mitandano ya simu hawa wamekuwa na internet yenye speed ukilinganisha na nyingine nying. lakini kwa masikitiko makubwa VIRUSHI...
0 Reactions
32 Replies
5K Views
natafuta mtaalamu anaeweza kuniwekea adsense ads between pots ktk blog yangu,inahitajika haraka sana.
0 Reactions
1 Replies
637 Views
Simu inakuwa full week nzima, kazi yako ni kuweka salio tu
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Msaada jaman naomba kujua, alyekitumia king'amuzi cha continetal, malipo yake kwa mwezi, na je watakua na local chanel za bure?
0 Reactions
34 Replies
10K Views
Hello, Photocopier machine yangu RICCO AFICIO MP 3045 inaniletea error message "the cover is open as shown. Close it". Inaonesha kuwa cover ya upande wa kulia pembeni juu iko wazi lakini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana body naomba kwa wale wenye uelewa wa mambo ya simu wanijuze uwezo na ubora wa hii simu na bei zake.msaada tafadhali.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nimenunua simu mpya Nokia lumia 532, internet nimeset vizuri na ina operate kama kawaida, nimeshindwa kuweka whatsapp na software zingine kama vile youtube, twitter, instagram na...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Hii laptop tatizo lake ni kwamba ikisha waka baada ya sekunde chache ina badilika nakudisplay mwanga tofautitofauti kama slide halafu inajigawa Mara mbili kwahiyo siwezi kufanya chochote some time...
0 Reactions
3 Replies
831 Views
moniter yangu ya lcd imekutana na tatizo.in tabia ya kuwaka na kujizima mara kwa mara ndani ya dakika 5 inafanya hivo hata mara 5 au 7,kwa mujibu wa fundi niliyempa aicheki tatizo kaniambia kuwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Anae jua jinsi ya kurejesha smartphones pattern anisaidie kuna mtu kachezea sim yangu ika ji lock
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nimescan vyeti vyangu naomba msaada namna ya kuviweka kwenye file 1 la PDF. Natanguliza shukrani wadau.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Namba yangu imefungiwa Whatsapp jamani naombeni msaada namna ya kuifungua.
0 Reactions
8 Replies
4K Views
What The Different Between H Plus (H+) And Three G (3G)
0 Reactions
1 Replies
605 Views
Wataalamu wa apps ipi nibrowser nzuri kati ya hizi mbili chrome na dolphin!
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu nimeiona hii habari kwenye tweet ya mtu huko tweeter. Nimejaribu ku google sijapata ufafanuzi mzuri. Kwa mtazamo wangu kama wamefanya hivi itakuwa hatua nyingine kabisa ya utandawazi, uki m...
0 Reactions
0 Replies
722 Views
Ikifikisha asilimia mia kupitia google play mwenyekujua anijuze wakuu
0 Reactions
2 Replies
922 Views
mi nina simu ya iphone naitaji kuiunlock kuna website naona naweza lipia kwa paypal mastercard nk. je nisahihi kulipia au ndio matapeli
0 Reactions
0 Replies
710 Views
Back
Top Bottom