Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Naitaji IT person amabe ataweza kunitengenezea application km vile facebook na whatsapp.....
0 Reactions
6 Replies
1K Views
It was a very huge loss mimi n mmoja WAPO Wa walioathirika na hilo baada ya Airtel kukatisha huduma net bure lkuanzia SAA 11:00-6:00 asubuhi
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakuu kama ilivyo kuwa mtandao ambao ulikuwa na gharama nafuu za vifurushi vya mitandao ni Airtel pekee na kwa sababu hiyo walipata wateja wengi sana hadi hivi karibuni kasi yao ya internet kuwa...
2 Reactions
53 Replies
6K Views
Kwa mwenye kufahamu simu nzuri ya Huawei aniambie na gharama ikoje.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Desktop .. Unachoitaji ni Simu yako ya android na App inayoitwa C4droid.. kwa kutumia app hii unaweza kuprogramme GUI apps kwa kutumia libs za Qt na SDL. pia unaweza kuprogramme CLI app...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wajambo wakuu? Natafuta Tecno P5 mpya kabisa yenye quality nzuri. Naogopa kutapeliwa au kupata feki. 1. Je, kwa Dar es salaam nani ma ajenti wa simu za Tecno ? 2. Tecno P5 inauzwa TSh. ngapi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
HUAWEI ASCEND Y300 zinazotangazwa sana kua zina promo ya muda wa maongezi wa miezi sita nitaipata wapi kwa hapa dar? Nimeenda tigo shop ya hapa buguruni naambiwa haziko sokoni kwa miezi mitatu...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Kwa wataalam wa magari naomba kujuzwa hivi kama gari ipo off na milango yote imefungwa; kama mtu yupo ndani anaweza pata hewa ya zoxygen
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Angalia Tutorial yangu kuhusu jinsi ya kupata Product yoyote ya Autodesk including : 3ds Max, Maya, AutoCAD, Revit na nyenginezo! Kama hauzifahamu au huna kazi nazo please pita tu kistaarabu...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
habari za mda huu wakuu Nina rafiki yang ana Tecno m3 imestuck on logo....akiwasha inaishia kwenye logo ya tecno tuu na haitaki kuendelea yan kuwaka na kuwa tayari kwa ajili ya matumizi na...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Mwenye kifaa tajwa hapo ani pm
0 Reactions
1 Replies
654 Views
Wakuu naomba msaada jinsi ya kuformat katecno kangu,, kwa yeyote anaye jua
0 Reactions
0 Replies
851 Views
Habari wakuu, Kumekuwepo na lundo la powerbanks madukani,za aina tofauti tofauti.Hii inachanganya sana,hasahasa kwa wengine ambao sio wazoefu katika kutumia powerbanks. Natumai katika jukwaa hili...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Naomba kujuzwa wakuu na kama inakubali naomba na link ya kuidownload,
0 Reactions
2 Replies
779 Views
Habari zenu wana jamvi! Naomba msaada kwa anaejuwa setting the TOSHIBA CAMILEO SX500, nikipiga picha kawaida zinapotea au hazikai kwenye memory. Lakini ninapotumia auomatic timer picha...
0 Reactions
0 Replies
763 Views
Inakuwaje wadau,,,,my huawei y 300 muda mwingne touch yake inagoma kufanya kaz mwenye ushauri wowote kuhusu ilo tafadhali .....
0 Reactions
6 Replies
748 Views
msaada kwn wakuu Nina Nokia model:6030,type:rm-74,imei;352299/01 /511640/5.naomba msaada kwenu kufungua lock yake
0 Reactions
0 Replies
958 Views
Ndugu wanaJF, naamini wengi wetu hapa ni wapenzi wakubwa sana wa Photoshop na wangependa kujifunza. Sasa nikaona si vibaya tukichangia mawazo na uzoefu wetu na kweza kubadilishana ujuzi wetu...
0 Reactions
44 Replies
6K Views
Kuna picha nilizi hifadhi kwenye email yangu kupitia application moja hivi inaitwa photos ipo kwenye huawei y330 sasa zile picha nataka nizirudishe nafanyaje coz nikifungua hio app naziona chache
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habar wana jukwaa la technolojia naomba mnisaidie simu yangu aina ya tecno m3 haitaki kuoperate auto rotation kwani nikiigeuza image inabaki vilevile upright so nifanyaje wakuu kwani kuna video...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom