Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wadau naomba kuuliza hivi hizi huawei y550 ni unlock na je zinapatikana ktk haya maduka ya tigo,voda,airtel.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana jf heshima zanu, leo katika pita pita yangu kwenye net nimesoma uzinduzi wa 4g tigo hapo bongo katika maeneo ya mlimani na masaki, walio katika maeneo hayo na wameshatumia hiyo service...
0 Reactions
60 Replies
8K Views
Kuna software yoyote play store inayoweza saidia kufuta picha au video zinazojirudia ktk gallery ya simu, unakuta folder la whatsup ktk gallery lina picha au video kutoka watu mbalimbali au ma...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Enthusiast just watch mr Ýmir Vigfússon "Ph.D" explaining why he teach people how to hack, honestly it's very impressive and funny because the points he used to say are seem to be valid...
4 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari gani wadau wa Jukwaa hili! Naomba msaada wenu wa hali na mali niweze kupata nyimbo hizi za WASANII wa zamani zenye radha tofauti ili nami niweze kukumbusha enzi kidogo; A. PEPE KALLE 1...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
WADAU CAMERA YA MBELE YA SIMU YANGU YA huawei y300 imestop kufanaya kazi. nikifungua app ya camera sioni option ya front camera. na pia sioni sehemu ya kuondoa sauti ya camera, nifanyeje?
0 Reactions
1 Replies
645 Views
Wadau na omba kufahamu mtu mwenye ujuzi wa accounting package(Quick books)
0 Reactions
0 Replies
609 Views
wakuu nilikua nimejikusanya kusanya nikapata km lakin nne hivi,sasa nataka ninunue fridge ya mtumba kubwa,lakini bahati mbaya sina utaalam sana na mambo ya electronics,sijui fridge zipi ni nzuri...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wataalamu kuna rafiki yangu anasimu tajwa hapo juu sasa kila akijaribu kufungua gmail unakuja ujumbe searching for wifi networks wakati huo wifi iko on kwahiyo anashindwa jinsi ya kufungua account...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habarini wandugu nina techno m3 nime iroot sasa nataka kung'oa playstore kuna madhara gan kwa cmu? Na application zilizopo? Niki reset itafaa? Naombeni msaada
0 Reactions
15 Replies
3K Views
waungwana channel o dstv mwezi huu mwanzoni ilibuma na baadae ikapotea kabisa kwenye list ya channels, hv imekuwaje tena maana hata mziki mzuri siupati tena, wadau majibu please...
0 Reactions
5 Replies
957 Views
sina uhakika kama hapa ndiyo nilitakiwa nipost. mtanisamehe mi mgeni humu. nitaweza vipi kumfahamu mtu anayetumia jina langu na details zangu nyingine katika account ya facebook? naomba mnisaidie.
0 Reactions
1 Replies
688 Views
Nina private emails kadhaa, ambazo zinatumia majina yangu binafsi ambazo haziko katika mfumo wa yahoo.com au gmail.com (katika mfumo wa Ozzie.com). Kwa muda mrefu nimekuwa nikipata emails zenye...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ten years is nothing, at least in the history of journalism. But a decade of YouTube has arguably changed our concept of news as much as the inventions of the printing press, television or radio...
0 Reactions
0 Replies
692 Views
Nahitaji kujua website yao ili nione hiyo decoder yao mpya wanayopromote. I mean hii ya IPP Media.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani naomba msaada kwa mtu anayeweza ku unlock Huawei y300 inayotumia mtandao wa tigo itumie line zote hapa Tanzania. Au kama kuna mtu unamfahamu sikupenda ku Flash natamani kuifungua bila ku flash.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Msaada jamai pc yangu nikibari window inaingia ila hafiki mwisho hadi sasa haiwaki, nasielewi nini tatizo na nifanye nn
0 Reactions
4 Replies
734 Views
computer yangu inatatizo nikitumia modem inafanya kazi vizuri kwenye internate lakini nikitaka kuconnect kwenye wireless inakataa na sehemu ya connection inaonesha ki alama cha x nyekundu.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wakuu. Naombeni msaada king,amuzi changu kimepoteza itv,capital,eatv,tbc na star tv mwezi sasa.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari Wadau, Naweza pata wapi kwa Dar na price gani Smart home theatre ya BDV E2100 Sony? Nawasilisha.
0 Reactions
0 Replies
610 Views
Back
Top Bottom