Kwa wapenzi wa simulator games, Car Mechanic Simulator game ni moja kati ya magem bora ya magari coz linakupa vursa ya ww kushika spana na kuanza kulitengeneza then kuendesha kila aina ya magari...
Habari zenu ndugu, kuna Lenovo G40 ambayo nilikuwa nataka kuifanyia Installation ya Windows 8.1, maana imekuja mpya ikiwa na Windows 7 pre-installed. Nikawa nimefanya preparation ya Bootable USB...
Wadau kuna jamaa nilikuta ana tendency after every week ainaingia somewhere ( siijui nataka msaada apa) anafuat temporary files, yanakua mengi sana! binafsi sijawai fanya ivo kwa mashine yangu na...
Habar wanandugu, nimenunua simu taja hapo juu nmekumbana na tatizo kila nikijarbu kuupdate na kuinstall app kupitia play store napokea info inayoonesha kuna error sifaham kutatua hii shida. Msaada...
Laptop ni mpya kabisa baada ya siku kadhaa za matumizi nilipo iwasha msg isemayo ''no bootable device, please restart'' inatokea ..nikajaribu kupiga window shida ikajaonekana kua harddisk haina...
HAbari wana jamvi,mwenzenu nimeibiwa sim na vibaka wale wakuloa sim wakati wa usiku nikiwa ni melala sim haina hata wiki mbili nilitaka kujua kama naweza kuitrace kwa kutumia IME...
Wakuu niliwahi kuwa na game ya DRAFT kwa Laptop yangu ila kwa bahati mbaya nikaifuta lakini site ninoingia nashindwa kuidownload tena kwa pc yangu, je kuna yeyote humu ndani mwenye kuwa nayo humu...
Simu HUAWEI Y511-U30: Naomba msaada Network ya Mtandao wa Tigo imepotea tangu jana imeweka alama ya ''X''. Siwezi kufanya chochote kupitia mtandao wa Tigo. NIFANYEJE Experts
Nilikuwa na CD ya drivers za Dell inspiron n5050 sasa kwa bahati mbaya imeharibika. Naomba msaada ni vipi naweza kudownload drivers za dell inspiron n5050? Haza VGA drivers na zile za ku- unzip...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.