Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wataalam play store inagoma kufunguka nikifungua connection time out wakati net iko vizuri. Naomba msaada nifanyeje?
0 Reactions
38 Replies
10K Views
WanaJF, Mimi nimeolewa naishi na mme wangu. Sasa kuna kaka ambae alikua rafki yangu kabla sijaolewa, sasa uyo kaka alini add kwenye google+ yake, kama mnavojua nikiwa naangalia google image...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Samahanini je naweza kujiunga whatsap namba kwenye simu mbili tofauti....mfano nina number 0000012334 nataka itumike hiyo hiyo kwenye huawei na hiyo hiyo kwenye samsung....je itawezekana....
0 Reactions
1 Replies
883 Views
Do You Use Digital Technology Wisely? Jenni is hooked on a video game. “I’m playing it for eight hours a day now,” she says, “and it’s become a real problem.” Dennis tried to go seven days...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa anayejua if jamii forum wana app yao kwa windows mobile
0 Reactions
1 Replies
553 Views
Wakuu, Tafadhalini sana, naomba kwa yeyote ambaye ana software ya Ms Word 2010, au 2013 ambayo iko full ili niweze kuinstall kwenye computer yangu. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
2 Replies
768 Views
Naombeni msaada nina simu yangu huawei y530 kuanzia leo imeanza kunisumbua mara inajiwasha na kuzima yenye mara inabadili rangi ya display na kuwa nyeusi na kuna ujumbe unasomeka...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau naomba kuelimishwa bomu linapolipuka nini haswa kinachoua watu je ni moto ni moshi ni mstuko ni mrusho au ni nini maana sielewi. Nipeni elimu ili nijue na ikitokea nijue najikinga vp
1 Reactions
72 Replies
15K Views
Poleni wanajamvi, msaada kidogo kuna simu inaitwa maxon it is something new in the market, zipo models kama mbili hivi, ya kwanza ina RAM 2GB 32GB HDD na ya pili ina 1GB RAM 16GB HDD,plz kwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Dear..Great thinker wa jukwaa hili heshima,kwenu..Naomba msaada wa ni software gani nina weza kutumia kwenye computer, nikaweza kusearch tatizo lilipo kwenye electronic circuit bila kutumia...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa wale wote wenye shida na template ambayo rafiki kwa matangazo ya adsense,wanicheki 0687535650
0 Reactions
0 Replies
731 Views
Habari wadau, nimenunua lumia 532 made in vietnam, lakini inanizingua kuunganisha internet, naomba msaada kwa anayejua setting za kuunganisha internet. Nawasilisha.
0 Reactions
36 Replies
5K Views
Kuna sim ya ideos huawei imeblock na patterns, naogopa kuflash nitapoteza vitu vyangu msaada kwa anayejua jinsi ya ku unlock.
0 Reactions
2 Replies
797 Views
Naomba msaada namna ya kutatua tatizo hili CM yangu nikipigiwa Simsikii anayenpigia lakin yeye ananiskia kama kawaida sjui nlekebishaje?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
jamani wana it naomba msaada wa kuunganisha internet kwenye samsung note n7000 kwa lain ya tigo
0 Reactions
4 Replies
866 Views
Habari wakuu Naomba msaada wa gama ya dream league nilidownload kama apk but kuna additional zinaitajika... na mimi play store yangu inagoma kufunguka wala kuweka Gmail inakataa Hvyo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni epson L800 inatoa wino mweusi pemben mwa picha
0 Reactions
2 Replies
722 Views
Natumia SAMSUNG either kwa kutumia laptop email kwenda whatsapp au kutumia simu kucukua pics toka email na ku paste kwenye Whatsapp Tafadhali Kwa ufupi namna ya ku -...
0 Reactions
2 Replies
904 Views
habari wana JF najua wazima... naomba msaada laptop yangu inaonyesha "bootmng is missing" na nikijaribu kushusha windows CD inazunguka tu ila haiinyeshi setting za boot menu zaidi ya kurudisha...
0 Reactions
4 Replies
963 Views
Habari za wk end wadau, Kwa wale wapenzi wa music,kama kuna member yoyote humu mwenye dj mixing music compilation,anaweza akai appload hapa na ku share na members wengine. Unaweza ku appload...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom