A month after a CitiBank analyst predicted that Samsung may sell over 50 million units of the Galaxy S6 and S6 Edge, the South Korean company has said that it is expecting sales of its latest...
Habari za kazi?
Juzi nilikuwa nafanya maombi kwenye vyuo mbali mbali vya afya through NACTE online registration sasa nkakosea email, nashindwa
kuendelea na chochote. Nawapigia hawapokei nawatumia...
dear Members
Last night I lost my smart phone Huawei Ascend Y330-U11
It was installed with a gps tracker app but I do not know how to go about to locate it.
Is it possible to trace it and know...
Samahani wakuu, naulizia kuhusu ufungaji wa spika za bass(sub woofer za magari), hivi inahitaji utaalamu wa hali ya juu sana au kawaida tu na kama inahitaji utaalamu sana mambo gani ya muhimu ya...
Bwana mkubwa Google anazidi kurahisisha maisha kwa watumiaji wa Android.
Nenda Google Search andika na tafuta 'Find My Phone' ...utapata mtaa kupitia ramani ya Google mapa na pia utaweza hadi...
Kesho natarajia kwenda kununua simu ya touch kwenye duka moja wapo la tigo au airtel kwa tigo ni huawei na airtel nadhani ni aitel kama sikosei naomba msaada wa kiutalaamu zaidi niende duka gani...
Akaunti yng ya Facebook imekuwa Disabled. Ina maana siwezi kufungua mpaka nifuate maelekezo yao ya Security Identification. Nikifika sehemu ya kutambua picha na jina lake huyo mtu, nashindwa...
​Habarini Wanajamii
Jana usiku nimeibiwa Smart phone yangu aina ya Huawei Y330-U11. Simu mpaka saa hizi haipatikani ndo niko njiani kuelekeaa Tigo kuripoti na kupata line mpya.
Naomba...
Kwa yule mzoefu na football games kama PES 2014 naomba msaada
Nina pes 2014 na 2015 lakini nikiconnect pads za double shock ili tucheze watu wawili haiwezekani so ambae anajua hilo swala...
jamani naombe msaada wenu wadau nina pes 2014 na pes 2015 lakini zote ninapoconect pad hazichez ninatumia key board tu sijui nifanyaje nisaidieni jinsi ya kuweza kuchezea pad kwenye pes
Habarizi za leo?
Jamani naomba kuulizia ni wapi kuna maduka mazuri ya vifaa vya umeme original sio mchina Dar es Salaam na pia naomba kujua labda gharama ya vifaa vya umeme kwa makadirio kwenye...
Habari zenu wakuu!?
nna Tv yangu ya samsung inch 24 ambayo kwa bahati mbaya nli iangusha chini, sasa imepasuka kioo! kwahyo nlikua naomba msaada wa kufaham kama inatengenezeka, na pia gharama za...
Nimenunua TV ya Samsung Flat nimeona kwa nyuma kuna sehemu ya kuweka kadi (built in king'amuzi). Swali langu je naweza kuweka kadi za ving'amuzi vya hapa TZ kama Startimes, Azam, Zuku n.k direct...
Kila siku watu walikuwa wakitafuta apps lock kwa ajili ya kuficha chats zao n.k!
Habari njema kwa watumiaji wa whatsapp+ sasa unaweza kuhide chat zako pia chat vonversation na mtu hasiwezs...
Huwa naona watu wanaweka hapa JF avatar(profile)\ zinazo zinazo cheza cheza hivyo kama kuna mtaalam wa hivyo vitu anipe maujuzii :msela::msela::msela::msela:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.