Wakuu nimefactory reset lumia 720 na imebakia kwene gear tokea jana usiku mpaka sasa hv iko vile vile.. Ambae ashawah kutwa na ili janga na akapata solution anisaidie aisee..
Cc: Chief-Mkwawa
Habar wana JF.
Ninatafuta mtu aliye mtaalamu wa kutengeneza website, tafadhali kama kuna au watu unawafahamu wanaohusika na kazi hii, naomba ni Inbox.
Ahsante!
Habar wakuu
Nina dogo anataka kujiajiri kwa kuwa fundi sim wapi anaweza kujifunza namna ya kuflash sim na kufanya matengenezo madogo madogo ya sim.
natanguliza shukran
Wakuu kuna tatizo nililo nalo ninapoingia kwenye intaneti. Nikifungua Google Chrome au Mozilla ambazo huwa nazitumia kwenye laptop baada ya muda kidogo window nyingine hufunguka zenyewe na hata...
Hello,We are designing E-learning System The e-learning platform is a software solution to long-distance learning management and provision.
Versatility and simplicity make this LMS (Learning...
Wakuu kwa atakae hitaji DVD za software programs kama vile windows, drivers za kila aina, Microsoft office na program zikiwa ktk DVD nk anaweza kupata kwangu, bei ni tsh elfu kumi tu. Mawasiliano...
Nmeanzisha hii mada ili members tujumuike na tushare ideas jinsi gani tunaweza kupata bure au hata walau kupunguza gharama ya vitu ambavyo ni paid na sio free
MOVIES NA MIZIKI YA MAREKANI NA...
nina simu yangu ya galaxy note 3 original nimenunua takribani miezi 3 sasa, ila kuanzia jana nimejaribu kuichaji imegoma kabisa kuingiza chaji hivyo imezima naomba msaada hapo.
Habarini wakuu wa jamvi heshima kwenu,
niwapeni pole kwa shughuli za kila siku za kujitafutia chochote kiende kinywani yote ni mapenzi ya Mungu imenibidi niwasilishe hitaji hili kwenu nikiamini ni...
Hello wana Jukwaa.
nina iPad
" designed by Apple in California Assembled in China Model A1396 Rated 5.IV 2.1A max. EMC 2416 complies with the cadanian ICES-003
Class B specifications...
Habari za wikiend wanajamvi.
Msaada, najaribu kuweka OS (windows 8) kwa pc lakini ikifikia kwenye 'Installing updates' inastack.
Nimejaribu kufomat drive C: lakni ikifika eneo hilo bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.