Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Kama kichwa cha habari kinavyozungumza mzigo uko sokoni.... Bei 300k
0 Reactions
8 Replies
1K Views
1. Google: Larry Page & Sergey Brin 2. Facebook: Mark Zuckerberg 3. Yahoo: David Filo & Jerry Yang 4. Twitter: Jack Dorsey & Dick Costolo 5. Internet: Tim Berners Lee 6. Linkdin: Reid...
0 Reactions
0 Replies
922 Views
Habari wakuu, nina iphone 5s haisupport code so siwezi kuweka vocha wala kuingia Tigopesa, kama kuna njia yoyote ya kufix hii inshu naomba msaada tafadhali.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari JF, Natumia simu tajwa hapo juu. Tatizo linakuja nikitaka kudownload apps playstore inaandika" there is insufficient space in the divice" Naomba msaada kwa anayejua anisaidie nifanye nini...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani mnisaidie nimepata email ya friend request kutoka jamii so na accept vipi???
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari, mimi napatikana kahama shinyanga nimenunua king'amuzi cha startimes mwezi uliopita 03/2015. Kwa promotion ya sh. 39000, nikapewa ofa ya kifurushi cha sh. 10000 kwa miezi mitatu. Tatizo...
0 Reactions
12 Replies
9K Views
Samahani waungwa, natumia simu TECNO H5 toka wiki iliyopita kila nikibadilisha Berti au kutoa line nikiirudisha inakuwa haionyeshi majina na SMS mpaka kesho yake ndo inaonyesha, kwenye SMS...
0 Reactions
0 Replies
965 Views
Samahani waungwa.natumia simu TECNO H5 toka wiki iliyopita kila nikibadilisha Berti au kutoa line nikiirudisha inakuwa haionyeshi majina na SMS mpaka kesho yake ndo inaonyesha,kwenye SMS hivi...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Habari zenu wana JF, Mwenzenu nashindwa kabisa kuutendea haki ulimwengu wa digital maana Laptop yangu ya DELL LATITUDE E4300 inakuwa ina inastack na unakuwa huwezi fanya lolote zaidi na hata...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wapendwa wataalamu, hamjambo wote? Naomba kujulishwa mtindo na namna ya kutuma namba zangu za simu ya mkononi nje ya nchi ili mtu huyo anipigie. Mathlani namba zangu ni 0759820395, je, nizitume...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Mimi sio mtaalamu wa mambo haya ila through hili jukwaa kidogo naelewa vingi sasa kuna hili bado sijalijua naombeni msaada Mtaani utakuta matangazo mengi ya mtu akiwa anafanya kazi za kuweka na...
0 Reactions
21 Replies
14K Views
msaada jamani.....habari wakuu ni wiki sasa tangu tatizo hili litokee yani nimipost habari mpya adsense zinaonekana thn baada ya dk 5 zinapotea napost habari za kawaida no adult content
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nina smartphone,Huawei Y300 tatizo lake imekuwa inaniletea ujumbe huu "Unfortunately, the process com.google.process.gasps has stopped" kiasi kwamba nashindwa kuitumia kabisa na nimejaribu factory...
0 Reactions
3 Replies
743 Views
Msaada wa mawazo wadau. Kuna bidhaa nilinunua Ebay kutoka U.S.A. Ikatumwa kupitia USPS toka tarehe 9..mwezi uliopita, bado nikitrack inaonekana ipo njiani. Nina Wasiwasi maana imechukua mwezi na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za asubuhi wanajukwaa.<br><br>Ninayo iPad ya Apple version 2.2(740), nashindwa kufanya vitu vifuatavyo:- 1. Kuangalia salio bila kutoa mono chip ya airtel ninayotumia ili niweze kuweka...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Msaada jamani, nimenunua cd orijinal ya kwaya (dvd) na kwakuwa naipenda sana nilitaka kuihamishia kwenye PC but nimeshindwa kabisa... msaada tafadhali.. cc. chiefmkwawa
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Encrypted Virus Designed to Hold Important Files of User...
0 Reactions
1 Replies
769 Views
Kama heading inavyoeleza,ninaomba product key za ms office professional edition 2013. Ninataka kufanya installation,ninaomba msaada wa kuzipata. Ahsante.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimeweka leo hela kwenye account ya CRDB kwa lengo la kuitransfer kwa mtu mwingine. Cha ajabu hiyo hela inaonekana kwenye available balance, actual balance ni 0. As a result kila nilitaka kufanya...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Naomba kusaidiwa,kuna documents najalibu kudownload from my email attachment zinakataa,napokea ujumbe usemao"there is no installed app that can open this attachment.Try downloading an appropriate...
0 Reactions
2 Replies
763 Views
Back
Top Bottom