Asema kina uwezo wa kupokea current kutoka kuwili {njia mbili} na kutolea katika moja, hata kama source moja itakua innactive. Kama inavyoonekana katika sketch hii hapa chini....
Habari zenu kila mmoja. Naomba mwenye product key ya windows 8.1 core anisaidie, maana nilikuwa na temporary product key ambayo imeisha na windows inahitaji kuwa activated. Natanguliza shukrani...
Habari zenu wakuu.. naulizia bei ya kioo cha Simu aina ya HTC one X, kama kuna mdau yoyote anayejua gharama yake.
Au kama kuna mtu anayejua mahali ofisi za HTC hapa Dar, tafadhali nisaidie...
Za asubuh wanajamvi?ni matumain yangu mungu amewaamsha salama,bila yakuwasahau wale waliopo mahospitali polen na mungu aonekane juu yenu.kwa kifupi wadau mimi ninatafuta simu (smartphone) itakayo...
Habari zenu!
Samahani wapendwa anayejua jinsi ya kudownload Jamii Forum App kwenye Black Berry 9700. Naomba anielekeze au kama unayo link yake!,,,niandikie hapa!
Ahsanten!
As having seen that some areas in science field have been not taken care of in this part whereby most of posts are relating to computer or technology, I have just decided to bounce in the other...
Hapa lazima tukubali tu kwamba kwenye design Apple wanakwaa barabara wengine wanafuata tu. Hii S6 haihitaji miwani kuona kwamba Samsung wamekopa vitu vingi vya kimuundo kutoka iPhone 6, kumbuka...
habari ndugu wana jamii!"
naomba msaada juu ya kupata games ambazo zinakuwa converted mfumo wa ELF kwa ajili ya Ps (za kuweka kwenye flash)
!NB : kama mnaweza kunipa linki (ambayo nitaweza...
Husika na hicho kichwa cha habari mimi ni novice programmer nahitaji programmer yeyote aliye Dodoma tuwe tunakutana weekend na ku develop apps na systems ili kwenda sawa na ulimwengu wa technohama
Jamani msaada nimenunua Techno M6 dukani mpya ila option ya kurestart na kushutdown haifanyi kazi. kuzima mpaka nishedule power itajizima yenyewe. Mwenye ujuzi ama niirudishe
habari wadau.
kuna mtu kaniambia kuwa kuna frequency ukiingiza katika kin'gamuz cha azam na ukabadili muelekeo kidogo wa dish unadaka channels zote za cntinental,sasa alisahau kunipa frequency...
Wandugu salaam,
Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu nimeamua kutumia Ubuntu as my OS, sasa napata shida ya kukonect na modem ya zantel ambayo ilikuwa inafanya kazi bila shida kwa os...
Kama wewe ni mtumiaji wa Android basi inawezekana tayari unajua kwa kiasi gani mfumo huu huru unavyobadilisha jinsi tunavyotumia
simu zetu katika zama za sasa. Mara nyingi tuna- tuma mafaili...
Habari zenu wanaJf
Niko Arusha sasa hivi, nahitaji kununua dish la bei ya kawaida, lenye ubora na lenye vifurushi vya bei nafuu, vipi nawezapata wapi huduma hiyo hapa Arusha?
Vipi ubora wa haya...
Pengine nawe umeshuhudia Magari mengi ya kizazi cha kuanzia 2008 ya UK na USA yana taa ambazo zinawaka mchana. nikikutajia machache ni kama vile BMW, RANGE ROVER, ESCALADE n.k wengi waemkuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.