Kwa wale wafanyabiashara wenye maduka ya jumla na reja reja napenda kuwa julisha Software ya kompyuta itayo kusaidia katika biashara zako katika kufunga stock,mauzo(selling),matumizi nk.
program...
Wanajamvi , naombeni mnielekeze duka gani kwa dar naweza kupata transfoma mpya zenye kiwango kuanzia 12v -0 -12v mpaka 30v -0-30v . Na ampere 3 mpaka 5 mwisho. Na bei zake kama mtu anauzoefu...
wadau.wasomi kutoka chuo cha stanford univesity,california wamegundua betri mpya za simu ambazo zitajaa chaji ndani ya dakika moja tu.
================
Sasa hivi teknolojia inatuletea hii.. simu...
Wapendwa habari?
Naomba kuelekezwa namna ya kuelekezwa namna ya kuset account yangu ya facebook ili watu wailike kwasababu nimefikisha marafiki 5000 tangu Ijumaa.
Asante.
nnaomba kujuzwa kama kunanjia ya kusolve matizo yafuatayo kwenye simu aina ya Samsung galaxy y duos
-system storage getting low, hapo unakuta no any installed application kusema kwamba inachukua...
nawasilisha kwa kuwa follower wa jf kwa muda mrefu na kuuulza maswali mengi kuhusu tecnolojia Chief-Mkwawa amekua msaada mkubwa kwangu na watu wengine
nilikua naomba kujua experience yako...
Nimetumiwa hela jamani kwa njia ya western Union nikiwa Marekani, Kwa bahati mbaya sana wakati hela inatumwa nikapata dharura ya kurudi nchini, kwa kifupi nikapishana na hela, je naweza kuitoa...
Samsung's new flagship Galaxy S6 and Galaxy S6 edge feature fresh new designs, better build quality, new software, the best smartphone displays on the planet and cutting-edge new internal...
Wakuu nina Samsung Galaxy note 4 SM-N910C, balaa la hii simu nimekuwa nikiitumia vizuri tu ila toka juzi ,
Nikiweka laini ya voda hatusikilizani yaani mimi namsikia mwenzangu yeye hanisikii ...
Karibu social networks/forum nyingi Nina oprion option ya kufuta thread au hata account yangu. Kwann JF haina hiyo option, je imeachwa makusudi?
Binafsi sioni maana ya kucontact uongozi ili...
Memory card ina kazi za video na picha za wateja, nilitumia computer ya jamaa flani kuimport mara ghafla ikadai haisomi, ina hitaji kuwa formated, nifanyeje wakuu?
Intel waja na high end intel Solid State Drive "SDD" za aina mbili kiuwezo wakuhifadhi vitu moja ikiwa na 400GB na nyingine 1.2TB zikitumia PCIe ambayo ni serial computer expansion bus standard...
Wanajamvi habari za mihangaiko..
Naomba msaada kama Kuna anaeelewa juu ya hili tatizo langu.
Kiufupi ni kwamba nilinunua vocha ya Kenya sh 300 kwa ajili ya kuingiza kwenye Line yangu ya airtel...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.