Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari wana jamvi..... Nimekuwa interested sana na hili jukwaa kwa sababu katika jamii forums naona ndo jukwaa la pekee kuliko majukwaa yote hapa jamii forum upekee huo unatokana na umoja tulio...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Kwa bei ya 140,000 wadau mnanishauri nichukue smartphone ya aina gani??
0 Reactions
8 Replies
988 Views
WAKUU HABARINI,NINA LAPTOP YANGU AINA YA HP PAVILION G6 INA TABIA YA KUSTUCK NINAPOKUWA NAITUMIA NA INAANDIKA KWAMBA"Boot Device Not Found Install an Operating System on your Hard disk...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Nina iphone4s ilizingua icloud ikabidi niirestore nilivo kamisha kuirestore bado inataka ile id ya mwanzo msaada hapo kwa naweza kufanikisha ili?
0 Reactions
46 Replies
9K Views
natoa tsh 50000 kwa atakaye ondoa I cloud kwenye iPhone 4s an aye weza anicheki 0757560345
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wanafamilia wa jukwaa hili Mada mezani inasema hivi ni App gani ya android ya video call ambayo iko vizuri haina usumbufu kulingana na mitandao yetu ya kibongo. Karibu kwa ushauri Cc...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa wale wapenda games au watu wa graphics kadi hii hapa full mauwezo ina-support mpaka 4k....RADEON 7970 BLACK EDITION 3GB.....bei 350k maongezi yapo 0655090000
2 Reactions
0 Replies
694 Views
Msaada jamani, napenda sana website templates za ms publisher. But inanitatiza kupublish baada ya kuwa nimecreate pages. Naomba mweny kujua anisaidie ili nitumie ms publisher ku create na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu. Mimi natumia phpmyadmin katika kutengeza database huku nikiwa natumia dreamweaver kwa kunirahisishia kazi ya kuandika codes. Nimetengeza site locally ambayo mlengo ni...
0 Reactions
1 Replies
811 Views
Wdau msaada kwenye tuta, Naomba kufahamu kama naweza kutengeneza app nikaiweka kwenye playstore au ni mpaka niwaone wataalamu?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wana JF Kwa hali ilivyo sasa hivi kwa mtazamo wangu tigo ndo kimbilio la wanyonge Sikujua mwanzo ila baada ya kusikia kuhusu ofa ya Mb 100 za bure Nikachukua chip yangu na kuiweka kwenye...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Je!ninaweza kuifanyia hard reset simu tajwa hapo juu bila kutumia computer
0 Reactions
1 Replies
801 Views
samahani ndugu zangu simu yangu inasumbua upande wa meseji huwa zinaingia bila kikomo unakuta sms ya majuzi niliyosoma na nikajibu inakuwa bado inaendelea kuingia yaan mpaka ninechoka kama kuna...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Umejaza filamu na nyimbo kibao katika diski yako, labda ni magemu pia. Tamthilia je? Inaweza ikawa moja ya vitu hivi au ni mambo mengine kibao yamejaa kwenye kompyuta yako kiasi ya kwamba inakuwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Only CDMA Engineer can do it. Wewe uwezi ata tukikupatia software. When youy do programing any CDMA terminal the switch at network provider should. Be programed to and feeded with terminal...
0 Reactions
105 Replies
39K Views
Habari wakuu!? Ninahitaji kudownload album hasa za Adele za 19 and 21, nimejaribu kwenda google ila sijapata suluhisho. Nitafurahi kwa msaada. CHIEF MKWAWA
0 Reactions
8 Replies
3K Views
jamani nimedownload fifa 15 ultimate team lakini sina product keys zake kwahiyo ambaye anazo nahitaji msaada wake please jamani au mtu mwenye link ambayo ntadowload nakuifanyia installation...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba mwenye kujua prodact key za windowl 7anisaidie natanguliza shukurani
0 Reactions
1 Replies
522 Views
Habarini za saa hii?Shida yangu ni hivi ndugu zangu;Nina laptop ya Hp compaq presario CQ 43 ina miaka miwili na nusu tangu ni inunue, na OS yake ni windows 8.1 sasa leo nilikuwa nawasha ili...
0 Reactions
1 Replies
674 Views
Back
Top Bottom