habari wadau. simu yangu ghafla tu imekata network. pale kwenye network bar imeweka alama ya x. nimejaribu kusearch network inaniambia. error in searching network .. msaada tafadhali
Habari za leo?
Kama kichwa cha habari kinavyosema,nahitaji mtaalamu mwenye kujua namna ya ku create Google groups.
Kwa maelezo zaidi ni PM au piga/text 0787140432.
Asanteni wote.
Wakuu habar
msaada, window inaniletea hii messege hai recognise usb device, nimetumia nyia zote ninazozifahamu.
1. Nilikuwa nikibadili usb port zote nne hazikubali
2. Nibadili window
3...
Je,unaijua software ambayo unaweza kupata applications ambazo zinauzwa ktk google play na ukapata bure??
Ingia google search andika **aptoide apk** alafu ipakue baada ya hapo utafurahi...
Android OS ni moja kati operating system iliyozidi kusambaa duniani kote huku ikiwa na mpinzani mkubwa sana ambae ni iOS mara baada ya OS nyingine kutofanya vizuri.
Taarifa zilizotelewa na...
wakuu poleni na majukum, nina laptop yangu aina ya asus, inatumia window 8 nipo najaribu kubadili window lakini kila nikiwasha computer ili nibinyeze f12 inagoma inawaka moja kwa moja, na...
Ni vizuri wanangu tukikutana paltalk ili kupata maujuzi mengine kutoka kwa ma IT experts duniani. Download paltalk messanger, install, nenda computer and technology. Tukutane huko wapo wataalam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.